正在加载视频...
视频加载失败
Asante Baba Askofu.
10 条评论

Kwnn yeye mara zote hutoa matamko au kuongea baada ya kusemwa na kushinikizwa? Huyu jamaa ht ukimtazama mdomoni na machoni utagundua ni tapeli la CCM.

Anapepesa pepesa macho yanini?? Anashindwa kuikemea serikali itende Haki,, Watu kama hawa Neno la Mungu linasema ATAWATAPIKA.

Japo mzito sana kutamka neno HAKI ila tumuombeeni huenda akabadilika tabia yake Yani viongozi wengi wa dini wamewahi kukemea mapema. Yeye alikuwa anasikilizia upepo wa serikali kama isingekemea angekaa kimya kwakuwa imekemea nae kajitokeza

Anajitahidi sana kupanga maneno ili asiiudhi serikali. 🚮🚮

Nachojua, haki kuna siku itashinda. Patakucha soon

Nilishwa haku kusema Mbowe na zitto ni masnichi toka 2021 sijawahi kibadilika bas piah niseme HAPA HAKUNA MCHUNGAJI NI TAPELI TU na siwezi kubadilisha uamuzi wangu NOTE: mwaka huu Samia hawezi kuwa Rais. Hili ni andiko by any means HALALI lazima Litimie. Shida watu hawaamini

Tamko lakimchongo yeye na Askofu kesho mshahara niwatu wa mfumo walifanya figisu bagonza asiwe mkuu wa K K K T wakamtupia mashambani huko Tabora Jacob Kisiri hawa Wana tabia za ki sisiemu Hadi kwenye kanisa

.

Mnafiki Hana lolote sura imejaa asichokiamini kkt mlipotea njia kwa hili bumunda hafai kua mbele

@ApolinaryFrank Ujumbe ni kua wasitufunge midomo.

