
Adv. Dickson Matata
@AdvMatata • 26,038 subscribers
advocate/ lawyer
Videos

Kaka Hando anafaa sana kufundisha somo la kukabia kwa juu mpirani.
Adv. Dickson Matata16,392 Aufrufe • vor 13 Tagen

Moja ya hoja ambayo Bunge la Marekani limeweka kwenye "bill" kabla ya kuwa sheria dhidi ya Tanzania, ni pamoja na hoja kuwa Serikali ya Tanzania inaminya uhuru wa kuabudu (dini). Jana wabunge waliojipitisha bila uchaguzi wanasema hakuna uhuru wa kuabudu unaominywa nchini. Swali; hivi kanisa la Gwajima (Ufufuo na uzima) lilifungiwa kwa kosa gani?
Adv. Dickson Matata16,017 Aufrufe • vor 26 Tagen

Viongozi wengi TZ ukiwakuta ofisini au wakiwa kwenye ma-V8 kabla hawajaanza kuongea au kujibu hoja za wananchi, utasema viongozi si ndio hawa sasa, ila wakianza kuongea au kujibu hoja ndio unagundua ulikosea ulivyofikiri mwanzo. Haina tofauti na huyu jamaa hapa.
Adv. Dickson Matata12,367 Aufrufe • vor 1 Monat
0:34
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

DJ ongeza Sauti!! Sio kupewa uhaini wanatakiwa kuuliwa na kutupwa mtoni.
Adv. Dickson Matata17,977 Aufrufe • vor 1 Jahr

Sikiliza neno kwa neno la mwananchi huyu akiongea na Makamu Mwenyekiti Taifa John Heche, kisha linganisha na "Press" ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora aliyesema "eti" mwananchi huyu alijifanya yeye ni mkuu wa kituo cha Polisi Igunga. Halafu toa maoni nani kapotosha umma?
Adv. Dickson Matata14,700 Aufrufe • vor 1 Jahr
Keine weiteren Inhalte verfügbar