BARADHULI's banner
BARADHULI's profile picture

BARADHULI

@Baradhuli28,374 subscribers

D.F.Q

Shorts

Miuno ndo hii sasa🙌🏿

Sensitive content

Miuno ndo hii sasa🙌🏿

28,305 Aufrufe

Ukiona umepakia Bodaboda alafu Boda akapita mwendokasi please mwambie asipite kule kwa usalama wako.

Ukiona umepakia Bodaboda alafu Boda akapita mwendokasi please mwambie asipite kule kwa usalama wako.

42,349 Aufrufe

WAHUNI WOTE NDANI YA NYUMBA INAKUWAJEE..!! 😅😅🙌🏿

WAHUNI WOTE NDANI YA NYUMBA INAKUWAJEE..!! 😅😅🙌🏿

28,864 Aufrufe

Huyu Suka Akipata Ajari Utasikia Niliona Bibi Anavuka Barabara.

Huyu Suka Akipata Ajari Utasikia Niliona Bibi Anavuka Barabara.

17,715 Aufrufe

Heche akimsisitiza Bw. Nassoro Katuga Ahakikishe Lissu (Chiba) Achomoki Kwenye Kesi Yake. SO SAD 😞

Heche akimsisitiza Bw. Nassoro Katuga Ahakikishe Lissu (Chiba) Achomoki Kwenye Kesi Yake. SO SAD 😞

51,651 Aufrufe

Wakuu kuna mechi hapa lakini unaanza mbili bila Je upo tayari kuicheza? Kama upo tayari njoo dm nikupe mawasiliano yake.

Wakuu kuna mechi hapa lakini unaanza mbili bila Je upo tayari kuicheza? Kama upo tayari njoo dm nikupe mawasiliano yake.

12,043 Aufrufe

Ona linavyotumia gari la kifahari, hivi wakipata nchi hawa si watatumia Ma Lamborghini. Kwa hadhi yake ilibidi atumie PROBOX ndio tuamini wana uchungu na hii nchi.

Ona linavyotumia gari la kifahari, hivi wakipata nchi hawa si watatumia Ma Lamborghini. Kwa hadhi yake ilibidi atumie PROBOX ndio tuamini wana uchungu na hii nchi.

19,421 Aufrufe

Mwenzako ananyea ndoo we unapata wapi ujasiri wa kujaza body kweli rafiki yako ndio adui yako.

Mwenzako ananyea ndoo we unapata wapi ujasiri wa kujaza body kweli rafiki yako ndio adui yako.

10,161 Aufrufe

Videos

Baradhuli2's profile picture

Vijana Wa Dar😆 🫵

BARADHULI

60,088 Aufrufe • vor 3 Tagen

Huku Ni Tanzania Sehemu Gani?
0:35

Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Baradhuli2's profile picture

Huku Ni Tanzania Sehemu Gani?

BARADHULI

17,884 Aufrufe • vor 16 Tagen

Mwamba Anajipa Zake First Aid.
1:18

Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Baradhuli2's profile picture

Mwamba Anajipa Zake First Aid.

BARADHULI

22,585 Aufrufe • vor 22 Tagen

Baradhuli2's profile picture

Mwenye Majibu Ya Maswali Ya Mwandambo Atupe. Kama kuna mtanzania bado hajaamka kwenye hizi false flag operation basi atakuwa mbumbumbu kama Bongozozo, maana kama Mwandambo amechoka, wewe ni nani unaendelea kuwa zwazwa usieelewa kwamba kuna kitu kinapikwa ili kukaribisha machafuko makubwa zaidi ya yale yaliyopita!? Picha linaanza, Muhadhiri anasema kama serikali itaacha kudhibiti waleta machafuko, wasishangae watu wakakatana vichwa mitaani (yaani upande mmoja wa wataka machafuko na upande mwingine wa wazalendo wanaolinda amani ya nchi). Wahuni wakatumia hiyo kauli wakamuua mtu wakamkata na kichwa ili iendane na kauli ya mhadhiri Kelele za kupinga utekaji na kudai haki zilizozidi, matukio ya utekaji ndio yanachachamaa, maana yake wafanyaji ni wale wale walalamikaji. Huwezi kushutumiwa unaiba kuku wa jirani halafu kila siku unaendelea kuiba! Huo ni uongo, haiwezekani serikali ndio ishutumiwe halafu iendelee kuwa inafanya matukio hayo hayo inayoshutumiwa tena kwa watu ambao hawana impact wala influence yeyote! Kinachoendelea nchini ni false flag operation (opereseheni ya matukio bandia) inayolenga kupanikisha kundi la vijana wajinga wasio na uwezo wa kufikiri na kuwaingiza barabarani wakate ili wao wapate la kusemea, yaani vifo vyao wavitumie kama mtaji wa kuziomba taasisi za kimataifa ziingilie kati, zimpressurize Rais kwa kumtishia ICC ili alegeze msimamo wake akubaliane na matakwa ya VATICAN ambao ndio wawakilishi wa Mabepari hapa nchni. Hatutoacha kuwaambia, hakuna taasisi hatari na ya kishetani kama Vatican, Italy, wewe kama sio Mtaliano usichukie, wewe ni Mtanzania, wataliano ni mabepari ila wapo kwa mlango wa imani. SASA MJIBUNI MWANDAMBO

BARADHULI

22,194 Aufrufe • vor 1 Monat

Ajali haina kinga ajali ni ajali kazi kutukana badala watoe msaada wa kukimbiza hospitalini.
1:48

Sensitive content

This media may contain sensitive content.