
Gilly Bonny Tv
@GillyBonnyTv • 126,223 subscribers
Independent Media I WhatsApp +255655832712
Videos

VIDEO : Msikilize Dk. Sulle kuhusu athari zinazotokana na ulaji sana wa nyama ya Ngurue. 🎥Mbengo Tv
Gilly Bonny Tv152,565 просмотров • 1 год назад
0:29
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Raia mmoja wa mwafrika ambae haijafahamika anatokea nchi gani alijikuta akitupa lawama na kuondoka kwenye mazishi bila ya kumuaga papa Francis , hii ni baada ya kunyimwa ruhusu ya kuingia kwenda kumuaga kwa mara ya mwisho papa Francis aliyefariki wiki hii.
Gilly Bonny Tv81,424 просмотров • 1 год назад

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma, amemtolea uvivu mwanasiasa wa CHADEMA, John Heche, akimshutumu kwa kutoa kauli za kejeli na dharau dhidi ya Rais Samia Suluhu Hassan. Msukuma amesema haikubaliki kwa mwanasiasa kama Heche kuendelea kumsema Rais kwa namna ya kubeza juhudi zake, huku akisisitiza kuwa viongozi wa upinzani wanapaswa kuwa na nidhamu ya maneno wanapojadili masuala ya kitaifa.
Gilly Bonny Tv68,340 просмотров • 1 год назад

Tazama alichokifanya Mchungaji Mashimo kanisani kwa Nabii Mkuu Geordavie baada ya kuzawadiwa pesa ya chakula.
Gilly Bonny Tv60,737 просмотров • 1 год назад

KOCHA WA SIMBA SC, FADRU DEVIS AKIWA UWANJANI ENZI ZAKE AKISAKATA KABUMBU
Gilly Bonny Tv58,588 просмотров • 1 год назад

Shabiki wa Yanga maarufu kama Shetani wa Yanga akinyolewa nywele na mashabiki wa Simba ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kwamba Yanga isipofuzu Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika anyolewe nywele zake. Hii ndo maana halisi ya Ahadi ni deni. Credit : Mnyasa Media
Gilly Bonny Tv61,006 просмотров • 1 год назад

"Diamond Platnumz badilika hakuna wa kukulia bilioni mbili katika harusi" Dudu baya
Gilly Bonny Tv60,377 просмотров • 1 год назад