
John Pambalu
@John_Pambalu • 310,285 subscribers
Former BAVICHA National chairman, Butimba ward councillor (2015-2020), MP Candidate, Activist and entrepreneur.
Shorts
Videos

Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Taifa, Dkt. Rugemeleza Nshala hii leo Julai 03, 2026 akizungumza na Wanahabari nje ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar Es Salaam amesema Tundu Lissu ameweka pingamizi zito na ameitaka ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini hapo kumlipa fidia.
John Pambalu13,635 次观看 • 22 天前

Tunaongozwa na hekima ya kisa cha mwana mpotevu. Kuwakaribisha wapiganaji wote walio kosea njia. Kusema samahani ni hekima na katika hilo utafauti wetu si mkubwa zaidi ya ule wa wana CCM. Watarejea maelfu very soon. Kikubwa tutazame mbele katika mapambano yaliyo mbele yetu
John Pambalu16,034 次观看 • 1 个月前