
Twaha Mwaipaya
@Twaha_Mwaipaya • 324,116 subscribers
.Mratibu Wa Uhamasishaji Baraza la vijana wa chadema Taifa (BAVICHA) 2019-2025 Prison graduate 133 days in jail. Human rights defender.
Shorts
Videos

Mzee Wa Miaka 90 , Mzee JOHN OUMA ODERO Akabidhi Kiwanja Bure Kwa Chadema Na Kuomba Kiwanja Hicho Kijengwe Kwa Kuipa Chama Hadhi Katika Kata Ya Nyathorogo Wilaya ya RORYA.. Kiwanja Hicho Kimepokelewa na Mwenyekiti Wa CHADEMA Mkoa Wa Mara Mwl Chacha Heche Akiwa Kwenye Ziara Yake ya Baraza la Uongozi Mkoa wa Mara, Mwenyekiti Amesisitiza Kiwanja Hicho Kitajengwa Kwa Haraka na Jina la Jengo Hilo Litapewa Jina La Mzee Huyo Mzee JOHN OUMA ODERO.
Twaha Mwaipaya13,011 просмотров • 4 дней назад

UJUMBE WA KANALI AUGUSTINO POLEPOLE LEO 27.11.2025.
Twaha Mwaipaya177,364 просмотров • 6 месяцев назад

Kaka Habari za Asubuhi , Daladala mkoa wa Arusha wamegoma . Wanasema Bila mafuta kushuka hakitaeleweka.
Twaha Mwaipaya16,189 просмотров • 15 дней назад

"Tuna Rais ambae ni Mzanzibar na sio mtanganyika" sikiliza Nondo za Tundu Lissu.
Twaha Mwaipaya438,400 просмотров • 2 лет назад

LISSU: Heche njoo unitembelee BWANA HECHE: Nikija wananizuia LISSU: Njoo wakuzuie tena
Twaha Mwaipaya55,575 просмотров • 3 месяцев назад

Huyo aliyebebwa anaitwa Wilfred Elisha Mgonela ni diwani haramu wa ccm kata ya Pwaga iliyopo Jimbo la Kibakwe Wilayani Mpwapwa. Huyu Wilfred Elisha Mgonela ni shemeji wa Mbunge wa Kibakwe George Boniface Simbachawene yaani dada wa Simbachawene kaolewa na huyu Wilfred. Amekuwa akifanya vitendo vingi vya unyanyasaji Kwa Kinga ya Simbachawene. Ni mtu katili sana.
Twaha Mwaipaya30,752 просмотров • 2 месяцев назад

Waliotaka kutugawa na dini wamefell sana🔥🔥🔥🔥🔥#MsiogopeTutashinda
Twaha Mwaipaya74,145 просмотров • 6 месяцев назад

Mh. Heche: wanikamate nimefanya nini? Mimi: Nenda Mh. Wananchi: Hapa hakamatwi mtu.
Twaha Mwaipaya117,737 просмотров • 1 год назад

Documentary ya wananchi imetoka imemuacha Chande na Boxsa, twendeni MO29TV YOUTUBE muda huu tukaitazame,Gusa LINK
Twaha Mwaipaya18,419 просмотров • 1 месяц назад

Hii ni Jana kariakoo unaambiwa Polisi walikamata bodaboda wakapakia kwenye gari RAIA wakawasha Moto bodaboda zikashushwa, unasikia hapo watu wanasema vibaka hao vibaka hao, watu wamechoka Tarehe 29.10.2025 ilituletea Tanganyika MPYA watu sio waoga tena. Hapo RAIA wanatoa wazo la kuchoma Moto gari inamaanisha hawataki kuonewa tena, nyie tekeni ueni ila hatatisha kila MTU . ALAFU hapo kila MTU kageuka Afisa habari simu juu watu wanatumza risiti nitumieni hizo video zote.
Twaha Mwaipaya33,568 просмотров • 2 месяцев назад

Huku ni kujadiliana au kuzozana, waandishi wa Bongo miyeyusho sana.
Twaha Mwaipaya134,248 просмотров • 1 год назад