
Adv. Dickson Matata
@AdvMatata • 26,038 subscribers
advocate/ lawyer
Videos

Moja ya hoja ambayo Bunge la Marekani limeweka kwenye "bill" kabla ya kuwa sheria dhidi ya Tanzania, ni pamoja na hoja kuwa Serikali ya Tanzania inaminya uhuru wa kuabudu (dini). Jana wabunge waliojipitisha bila uchaguzi wanasema hakuna uhuru wa kuabudu unaominywa nchini. Swali; hivi kanisa la Gwajima (Ufufuo na uzima) lilifungiwa kwa kosa gani?
Adv. Dickson Matata16,017 次观看 • 26 天前
0:34
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Sikiliza neno kwa neno la mwananchi huyu akiongea na Makamu Mwenyekiti Taifa John Heche, kisha linganisha na "Press" ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora aliyesema "eti" mwananchi huyu alijifanya yeye ni mkuu wa kituo cha Polisi Igunga. Halafu toa maoni nani kapotosha umma?
Adv. Dickson Matata14,700 次观看 • 1 年前
没有更多内容可加载