BARADHULI's banner
BARADHULI's profile picture

BARADHULI

@Baradhuli27,860 subscribers

D.F.Q

Shorts

Ukiona umepakia Bodaboda alafu Boda akapita mwendokasi please mwambie asipite kule kwa usalama wako.

Ukiona umepakia Bodaboda alafu Boda akapita mwendokasi please mwambie asipite kule kwa usalama wako.

39,959 次观看

Wakuu kuna mechi hapa lakini unaanza mbili bila Je upo tayari kuicheza? Kama upo tayari njoo dm nikupe mawasiliano yake.

Wakuu kuna mechi hapa lakini unaanza mbili bila Je upo tayari kuicheza? Kama upo tayari njoo dm nikupe mawasiliano yake.

12,027 次观看

Heche akimsisitiza Bw. Nassoro Katuga Ahakikishe Lissu (Chiba) Achomoki Kwenye Kesi Yake. SO SAD 😞

Heche akimsisitiza Bw. Nassoro Katuga Ahakikishe Lissu (Chiba) Achomoki Kwenye Kesi Yake. SO SAD 😞

51,649 次观看

Ona linavyotumia gari la kifahari, hivi wakipata nchi hawa si watatumia Ma Lamborghini. Kwa hadhi yake ilibidi atumie PROBOX ndio tuamini wana uchungu na hii nchi.

Ona linavyotumia gari la kifahari, hivi wakipata nchi hawa si watatumia Ma Lamborghini. Kwa hadhi yake ilibidi atumie PROBOX ndio tuamini wana uchungu na hii nchi.

19,417 次观看

Mwenzako ananyea ndoo we unapata wapi ujasiri wa kujaza body kweli rafiki yako ndio adui yako.

Mwenzako ananyea ndoo we unapata wapi ujasiri wa kujaza body kweli rafiki yako ndio adui yako.

10,161 次观看

Videos

Ajali haina kinga ajali ni ajali kazi kutukana badala watoe msaada wa kukimbiza hospitalini.
1:48

Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Baradhuli2's profile picture

Mwenye Majibu Ya Maswali Ya Mwandambo Atupe. Kama kuna mtanzania bado hajaamka kwenye hizi false flag operation basi atakuwa mbumbumbu kama Bongozozo, maana kama Mwandambo amechoka, wewe ni nani unaendelea kuwa zwazwa usieelewa kwamba kuna kitu kinapikwa ili kukaribisha machafuko makubwa zaidi ya yale yaliyopita!? Picha linaanza, Muhadhiri anasema kama serikali itaacha kudhibiti waleta machafuko, wasishangae watu wakakatana vichwa mitaani (yaani upande mmoja wa wataka machafuko na upande mwingine wa wazalendo wanaolinda amani ya nchi). Wahuni wakatumia hiyo kauli wakamuua mtu wakamkata na kichwa ili iendane na kauli ya mhadhiri Kelele za kupinga utekaji na kudai haki zilizozidi, matukio ya utekaji ndio yanachachamaa, maana yake wafanyaji ni wale wale walalamikaji. Huwezi kushutumiwa unaiba kuku wa jirani halafu kila siku unaendelea kuiba! Huo ni uongo, haiwezekani serikali ndio ishutumiwe halafu iendelee kuwa inafanya matukio hayo hayo inayoshutumiwa tena kwa watu ambao hawana impact wala influence yeyote! Kinachoendelea nchini ni false flag operation (opereseheni ya matukio bandia) inayolenga kupanikisha kundi la vijana wajinga wasio na uwezo wa kufikiri na kuwaingiza barabarani wakate ili wao wapate la kusemea, yaani vifo vyao wavitumie kama mtaji wa kuziomba taasisi za kimataifa ziingilie kati, zimpressurize Rais kwa kumtishia ICC ili alegeze msimamo wake akubaliane na matakwa ya VATICAN ambao ndio wawakilishi wa Mabepari hapa nchni. Hatutoacha kuwaambia, hakuna taasisi hatari na ya kishetani kama Vatican, Italy, wewe kama sio Mtaliano usichukie, wewe ni Mtanzania, wataliano ni mabepari ila wapo kwa mlango wa imani. SASA MJIBUNI MWANDAMBO

BARADHULI

21,933 次观看 • 20 天前

Baradhuli2's profile picture

TUNDU LISU NI KIONGOZI ASIYESTAHILI KUMBUKUMBU WALA DHAMANA YA UONGOZI TANZANIA. Hatua ya CHADEMA kumuenzi Tundu Lissu kwa kutimiza mwaka mmoja gerezani (Aprili 9, 2026) inaonekana kama dhihaka kwa misingi ya uzalendo na utawala wa sheria. Badala ya kumuenzi, muda huu unapaswa kutumika kutafakari namna siasa za chuki na utegemezi wa nje zilivyoifikisha CHADEMA katika hali dhaifu, huku zikimwacha Lissu akiwa kiongozi asiyestahili kukumbukwa kwa lolote la heri katika historia ya taifa. Yafuatayo ni sababu zinazofanya wengi wakatae hata kusikia jina lake: 1. USALITI WA TAIFA KWA MASLAHI YA NJE: Anatuhumiwa kuweka mbele maslahi ya mataifa ya kigeni badala ya uzalendo, akidaiwa kupokea ushawishi au msaada wenye lengo la kudhoofisha mamlaka ya taifa. 2. TISHIO KWA AMANI NA UTULIVU: Kauli na matendo yake yanaelezwa kuchochea taharuki badala ya kujenga umoja na mshikamano wa kitaifa. 3. UCHOCHEZI WA MACHAFUKO: Anatajwa kuchochea hasira na upinzani mkali dhidi ya mamlaka, jambo linaloweza kuhatarisha usalama wa raia na mali. 4. KUVURUGA MCHAKATO WA UCHAGUZI (2025): Anaonekana kuwa na mkakati wa kuhoji au kudhoofisha uhalali wa uchaguzi endapo matokeo hayatampendelea. 5. MATUMIZI YA LUGHA ISIYO NA STAHA: Hutumia lugha kali, kejeli na mashambulizi ya maneno, jambo linalodhoofisha heshima ya mijadala ya kisiasa. 6. UKOSEFU WA HEKIMA NA BUSARA: Maamuzi yake yanaonekana kuongozwa na mihemko kuliko tafakari ya kina inayotarajiwa kwa kiongozi. 7. KUDHOOFISHA CHADEMA: Anahusishwa na migogoro ya ndani na kupungua kwa mshikamano wa chama chake. 8. DEMOKRASIA YA MASHAKA: Ingawa anajinasibu kuwa mtetezi wa demokrasia, anakosolewa kwa kutokuwa na misingi thabiti ya kidemokrasia katika vitendo. 9. UBAGUZI WA KIJAMII: Anadaiwa kugusa hoja za kikabila au kidini katika siasa, jambo linaloweza kugawa jamii. 10. UKOSEFU WA SHUKRANI: Anaonekana kukosa kuthamini msaada aliowahi kupewa, akirudisha kwa shutuma na lawama. 11. KUPOTEZA UZALENDO: Anashutumiwa kuonyesha imani kubwa kwa suluhu za nje kuliko za ndani. 12. KUKOSA MAONO YA MAENDELEO: Siasa zake zinatajwa kujikita zaidi katika ukosoaji kuliko kutoa mbadala wa kujenga taifa.

BARADHULI

12,215 次观看 • 2 个月前

没有更多内容可加载