Mwaka haukuisha vizuri kwangu na madeni ya Tin no ya biashara, lessen na Kodi ya pango la biashara na nyumba ya kuishi. Vimefanya niishie hivi Sina tumain la kuendelea nawaza kufunga ila nikipata hiyo 500000 ntaendeleza biashara yangu maana sjavuka na deni nililipa yote🙏🙏🙏🙏