
Chadema Tanzania
@ChademaTZ2 • 36,375 subscribers
The main Opposition Political Party in Tanzania ✌️
Shorts
Videos

Mhe. Tundu Antiphas Lissu akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. "#NoReformsNoElection"
Chadema Tanzania234,072 görüntüleme • 1 yıl önce

Leo tarehe 19 Mei 2026, katika eneo la Isaka, Jimbo la Msalala mkoani Shinyanga, Jeshi la Polisi wamezuia msafara uliokuwa ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Said Mzee Said, uliokuwa ukielekea kwenye uzinduzi wa vizimba vya Chama, pamoja na upandishaji wa bendera.
Chadema Tanzania18,247 görüntüleme • 21 gün önce

Takwimu za kikanda za mwezi Aprili 2026; Kenya Petrol: Tsh 3,700 Diesel: Tsh 3,680 Kodi: 28% Uganda Petrol: TSh 3,600 Diesel: TSh 3,550 Kodi: 27% Rwanda Petrol: TSh 3,750 Diesel: TSh 3,720 Kodi: 30% Zambia Petrol: TSh 3,800 Diesel: TSh 3,770 Kodi: 30% Mhe. John Heche
Chadema Tanzania30,131 görüntüleme • 2 ay önce
5:55
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Tanzania: Ushahidi mpya juu ya mauaji ya Oktoba 29, 2025. 🎥 DW News
Chadema Tanzania40,835 görüntüleme • 4 ay önce

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuutarifu umma kuhusu mwenendo wa shauri linalohusu maombi ya Mheshimiwa Tundu Lissu ya kuunganishwa katika kesi ya Said Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chama pamoja na Katibu Mkuu. Leo asubuhi, Mheshimiwa Tundu Lissu amefikishwa Mahakamani kwa ajili ya kusomewa uamuzi mdogo kuhusiana na maombi hayo ya kuunganishwa kwenye shauri hilo. Katika mwenendo wa shauri hilo, kuna mambo muhimu ya kisheria ya kuzingatia: Kwanza, maombi ya Mheshimiwa Lissu yalisikilizwa na Mheshimiwa Jaji Mwanga, ambaye kwa mujibu wa taratibu za kisheria alipaswa kutoa uamuzi kuhusu maombi hayo. Pili, inafahamika kwamba jalada la kesi ya Said Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chama na Katibu Mkuu tayari lilikuwa limeondolewa katika mahakama iliyokuwa inalisikiliza awali na kuhamishiwa mbele ya Mheshimiwa Jaji Ngunyale kwa ajili ya hatua zaidi za kisheria. Hata hivyo, Mheshimiwa Jaji Mwanga ametoa uamuzi wa kuyakataa maombi ya Mheshimiwa Tundu Lissu ya kuunganishwa katika shauri hilo.
Chadema Tanzania13,912 görüntüleme • 1 ay önce

Wakili wa kimataifa mwenye uzoefu mkubwa katika masuala ya ulinzi wa taasisi (safeguarding), utawala bora na sera, Brooke Lee Montgomery, leo amehudhuria Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Kiongozi wa Upinzani, Tundu Lissu. Wakati akisubiri kuanza kwa mwenendo wa kesi mahakamani, alipata wasaa wa kufanya mazungumzo na Mwanasheria Mkuu wa Chama, Rugemeleza Nshala, ambapo walibadilishana mawazo kuhusu masuala ya kisheria na umuhimu wa kuzingatia misingi ya haki na utawala wa sheria katika mwenendo wa kesi.
Chadema Tanzania26,336 görüntüleme • 3 ay önce

Bavicha wakiendelea na usafi katika Makao Makuu ya Chama Mikocheni, Dar es salaam.
Chadema Tanzania14,320 görüntüleme • 1 ay önce

Sisi tunasema hatutapiga magoti kwa mtu yeyote anayeteka, anayeuwa na kupoteza watu, kama umekubali kuwa kiongozi wa umma lazima ukubali kukosolewa. Huyu anayefunga makanisa yanapomwambia acha kuteka watu kwanini tumuonee aibu na kumwogopa, mimi Heche sitamwogopa na tutasonga mbele. Albert Oltereu tangulia, sisi tunakwambia, wenzako tutavaa viatu vyako tutapambana na kusonga mbele, Mungu atubariki." Mhe.John Heche
Chadema Tanzania52,119 görüntüleme • 10 ay önce

Leo kulikuwa na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Juma Idd wa Sirari. Wananchi kwa kushirikiana bodaboda wamefanikiwa kufukuzia gari hilo na kufunga barabara na kushinikiza gari hilo kuingia kituo cha Polisi. Katika tukio hilo amejuhiwa mtoto na watu wengine.
Chadema Tanzania39,415 görüntüleme • 7 ay önce
12:14
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

New evidence points to killings and grave human rights abuses by security forces in Tanzania. 🎥 DW News
Chadema Tanzania27,307 görüntüleme • 4 ay önce

"Tunaenda kukinukisha vibaya sana." Mhe. Tundu Antiphas Lissu
Chadema Tanzania36,471 görüntüleme • 7 ay önce