
Edwin Odemba
@chiefodemba • 45,552 subscribers
MTANGAZAJI WA TAIFA. Host MEDANI ZA SIASA, Udsm Alumnus, LUO ICON, CEO. CHIEF ODEMBA ENTERPRISES LTD.
Shorts
Videos

“Maazimio ya Bunge la ulaya ni dharau kwa Tanzania, sisi hatutaki Ushoga” Eng. Ezra Chilewesa Mbunge wa Biaramulo
Edwin Odemba302,568 просмотров • 1 год назад

“Mimi siamini katika ukomo wa uongozi wa nafasi yoyote ile, ninachoamini ni uwezo wa mtu na demokrasia ya kuchaguliwa na wanachama, hata kwenye nafasi ya urais watanzania wakiamua kupitia katiba kwamba pasiwepo na ukomo wa Urais ni sawa tu” Benson Kigaila - N/KATIBU MKUU - CHADEMA. Edwin Odemba MEDANI TV #medanikuu
Edwin Odemba260,799 просмотров • 1 год назад

Faris Buruhani akizoom VAR yake, kuhusu kauli yake ya “Tukiwapoteza Polisi Msiwatafute”
Edwin Odemba105,093 просмотров • 6 месяцев назад
0:57
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

PAUL KAGAME: Unajua Felix Tshisekedi alikuwa dereva tax mwenye sifa mbaya sana huko ubelgiji, Aliajiriwa na mtaliano mmoja katika mgahawa wa kuuza piza, jamaa huyo sasa ni mzee, Kagame anasema, yule mzee aliposikia Felix amekuwa Rais akashangaa sana, akasema huyu jamaa ambaye hakuweza hata (kudeliver) pizza amewezaje kuwa Rais wa Nchi..? Ila siasa bhana dah😀😀
Edwin Odemba206,204 просмотров • 1 год назад

“Mimi nilikuwa Mkuu wa kikosi cha Jeshi wakati hairusiwi Afisa wa Jeshi kushiriki katika mambo ya Siasa lakini mimi Nilishiriki, na nakumbuka 2007 Mbeya ilipata shida sana kusafirisha wajumbe kuja kwenye mkutano mkuu, mimi nikaipa CCM mafuta ya jeshi lita 200”…..!
Edwin Odemba160,315 просмотров • 1 год назад

“Mrisho Gambo hakushiriki kikao lakini posho ya kikao alichukuwa” Mchengerwa - Bungeni.
Edwin Odemba101,882 просмотров • 1 год назад

Utofauti kati ya no reform no election ya Mbowe na ya Lissu ni ipi ..?
Edwin Odemba96,291 просмотров • 1 год назад

“Kama hampingi msimamo wa chama hapa mmekuja kufanya nini..?” Swali la Edwin Odemba kwa John Mrema.
Edwin Odemba87,930 просмотров • 1 год назад

“WAPINZANI WAKIFA SISI HATUWEZI KULIA TUTAWATUPA MTONI WAWE CHAKULA CHA MAMBA”…..! Tusifike huku, huku ni mbali sana Ndg zangu, Tanzania ni ya watanzania wote ijengwe na watanzania wote…! Tusibaguane kwa vyama wala kwa Dini zetu, Hii ni Nchi Nzuri tuliyopewa na Mungu Tuilinde, Tuipende, na Tuituze kwa manufaa mapana ya kizazi hiki na kizazi kichajo..!
Edwin Odemba83,530 просмотров • 1 год назад

Hii ni kauli nzito sana, kama ina ukweli ndani yake Je mamlaka wamechukua hatua gani mpaka sasa ili kuwanusuru watanzania…? Na kama haina ukweli Chadema wanachukua hatua gani dhidi ya kauli hii, ambayo inahatarisha maisha ya watanzania..? Ni vyema viongozi wetu wakachuja kauli zao kabla ya kuyatoa hadharani..! #Tanzanianiyetusote tuijenge pamoja.
Edwin Odemba79,923 просмотров • 1 год назад