Jambo jema maishani ni kua mwema kadri siku zinavyosogea,chagua kuishi na watu,kati ya watu ndani ya watu,maisha ni mtu ndani ya watu.
https://t.co/lHwP2ZMECl
Shorts
Kama kuna sehemu timu ilipoteza umakini basi ni hapa,kocha unaposhangilia wakati mchezo haujaisha huku utofauti ni goli 1 ni hatari kwani wachezaji nao wanarelux wakiamini mechi imeisha na wameshinda wakati filimbi ya mwamuzi aijapigwa,kukosa uzoefu kumemgharimu fadlu daves.
58,900 views
Kila wakiangalia picha kama hizi ndivyo wanavyozidi kusokomeza kanuni mbali na kuona bora liwalo na liwe mana hizi picha zinaumiza sana mioyo yao🙌🙌🙌
42,189 views
Duuuuh hii ni Offside au ni Hofu saidi??Kuna kazi ya kufanya kwenye huu mpira wetu😅😅😅