🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿's banner
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿's profile picture

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿

@EsirEid53,591 subscribers

Website n Mobile Apps Developer,Computer Scientist N a PURE #Mathematician¶© #JKUAT ALUMNI||#TeamArsenal¶ #HalaMadrid¶ ¶ #YANGA $ #TajiriLaKihaya

Shorts

#TajiriLaKihaya Dah! Aisee hatuijui kesho yetu… Huyu Konda wa ABood huwa Ananiletea vyakula vya nyumbani kutoka kwa mashangazi zangu Bukoba💔 Leo ilifaa aniletee Senene kutoka kwa sister… maana juzi na jana mitego yangu ilivyua senene kibao! Jana kaweka hii status akiwa anajianda na safari… leo naona habari mtandaoni kapata ajali… Aisee… such a loving soul… nmeumia saana aiseee….

#TajiriLaKihaya Dah! Aisee hatuijui kesho yetu… Huyu Konda wa ABood huwa Ananiletea vyakula vya nyumbani kutoka kwa mashangazi zangu Bukoba💔 Leo ilifaa aniletee Senene kutoka kwa sister… maana juzi na jana mitego yangu ilivyua senene kibao! Jana kaweka hii status akiwa anajianda na safari… leo naona habari mtandaoni kapata ajali… Aisee… such a loving soul… nmeumia saana aiseee….

53,749 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Judge Chande… hana Confidence kabisaa… Anatetemeka… sauti ndogo…Nafsi inamsuta…💔💔💔

#TajiriLaKihaya Judge Chande… hana Confidence kabisaa… Anatetemeka… sauti ndogo…Nafsi inamsuta…💔💔💔

41,142 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Nani yupo Haya maeneo ya MAHABUSU YA KEKO… Tukamuone SIR JEFF⚡🇹🇿 ???

#TajiriLaKihaya Nani yupo Haya maeneo ya MAHABUSU YA KEKO… Tukamuone SIR JEFF⚡🇹🇿 ???

24,188 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Naendelea kusema - nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba MBOWE na BONI YAI na MMM na timu yao nzima! Hawahusiki kuihujumu CHADEMA

#TajiriLaKihaya Naendelea kusema - nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba MBOWE na BONI YAI na MMM na timu yao nzima! Hawahusiki kuihujumu CHADEMA

149,564 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Hapa nipo CHINI ya BAHARI kabisaaa… Nagusa ARDHI… samaki tunapishana! Majini ya baharini nimepiga nao story saana…nkawapa majina ya WASIMBE wote wanaonisumbua humu🤣 Experience Tamu saana… NIME ENJOY💯

#TajiriLaKihaya Hapa nipo CHINI ya BAHARI kabisaaa… Nagusa ARDHI… samaki tunapishana! Majini ya baharini nimepiga nao story saana…nkawapa majina ya WASIMBE wote wanaonisumbua humu🤣 Experience Tamu saana… NIME ENJOY💯

114,791 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Tupo hapa Gereza La Mahabusu KEKO… SIR JEFF⚡🇹🇿 anaendelea Vyema… Kesho kutwa -Tuesday atapelekwa Mahakamani KISUTU…

#TajiriLaKihaya Tupo hapa Gereza La Mahabusu KEKO… SIR JEFF⚡🇹🇿 anaendelea Vyema… Kesho kutwa -Tuesday atapelekwa Mahakamani KISUTU…

35,318 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Huu ugeni sio wa mchezo aiseee… Tupo na Sheikh DIMOSO huku!

#TajiriLaKihaya Huu ugeni sio wa mchezo aiseee… Tupo na Sheikh DIMOSO huku!

30,872 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Life is For The LIVING….

#TajiriLaKihaya Life is For The LIVING….

15,476 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Manzi zinakazi ngumu… Kuna wengine hapa wamekuja masaa mawili nawachora tu… hawajaagiza kinywaji hata kimoja… Wanapiga picha tu… wanaenda wanabadilisha nguo wanarudi tena… Ukiona manzi amepost Photo Dump wewe Repost tu na Ucomment- wanapitia magumu kuzipata aiseee💔💔

#TajiriLaKihaya Manzi zinakazi ngumu… Kuna wengine hapa wamekuja masaa mawili nawachora tu… hawajaagiza kinywaji hata kimoja… Wanapiga picha tu… wanaenda wanabadilisha nguo wanarudi tena… Ukiona manzi amepost Photo Dump wewe Repost tu na Ucomment- wanapitia magumu kuzipata aiseee💔💔

29,400 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Secretary namba 2… Ataanza Kazi Rasmi Jumatatu ijayo, tarehe 29/12/2025. Atakua na Probation ya miezi mitatu Kwa monthly salary ya TZS 1,859,600 take home. Akipita probation-kuanzia April,2025 Atapokea TZS 2,500,000 kila Mwezi.

#TajiriLaKihaya Secretary namba 2… Ataanza Kazi Rasmi Jumatatu ijayo, tarehe 29/12/2025. Atakua na Probation ya miezi mitatu Kwa monthly salary ya TZS 1,859,600 take home. Akipita probation-kuanzia April,2025 Atapokea TZS 2,500,000 kila Mwezi.

20,623 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Kwa Mara ya Kwanza naona Shanga hata haidindi 💔💔 Au hii ni Hirizi imechomoka bahati mbaya 😳

#TajiriLaKihaya Kwa Mara ya Kwanza naona Shanga hata haidindi 💔💔 Au hii ni Hirizi imechomoka bahati mbaya 😳

33,250 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Hapa TABATA tutakua Tukichinja na Kula Mbuzi CHOMA - wawili wawili kila siku Hadi Ijumaa Wiki hii- In Sha Allah🙏🏽

#TajiriLaKihaya Hapa TABATA tutakua Tukichinja na Kula Mbuzi CHOMA - wawili wawili kila siku Hadi Ijumaa Wiki hii- In Sha Allah🙏🏽

24,356 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Happy Birthday my small SISTER, Enjoy Your Day🫶🏾

#TajiriLaKihaya Happy Birthday my small SISTER, Enjoy Your Day🫶🏾

20,813 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Wana X wa Mbeya… Leo tupo MBEYA PAZURI… Watu wameitika🙌🏽🙌🏽🙌🏽

#TajiriLaKihaya Wana X wa Mbeya… Leo tupo MBEYA PAZURI… Watu wameitika🙌🏽🙌🏽🙌🏽

17,434 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Wakuu ndio Nmerudi A R U S H A from NAMANGA… Janja za A TOWN - njooni hapa KIBO PALACE HOTEL nlipofikia… Tupige story mbili tatu…

#TajiriLaKihaya Wakuu ndio Nmerudi A R U S H A from NAMANGA… Janja za A TOWN - njooni hapa KIBO PALACE HOTEL nlipofikia… Tupige story mbili tatu…

23,950 Aufrufe

#TajiriLaKihaya Lissu kosa Lake Kuu ni Kutaka hili lisijirudie tena💔 ni kupigania FREE and FAIR ELECTION….

#TajiriLaKihaya Lissu kosa Lake Kuu ni Kutaka hili lisijirudie tena💔 ni kupigania FREE and FAIR ELECTION….

26,315 Aufrufe

#TajiriLaKihaya VIJANA OENI … Maisha ya ndoa matamu saana- Ukioa Rafiki yako tena mkiwa bado wadogo mnajitafuta wote! Growing together increases Love 💯 na Hamzeeki kabisaa🙌🏽

#TajiriLaKihaya VIJANA OENI … Maisha ya ndoa matamu saana- Ukioa Rafiki yako tena mkiwa bado wadogo mnajitafuta wote! Growing together increases Love 💯 na Hamzeeki kabisaa🙌🏽

11,695 Aufrufe

Videos