
Hancy Machemba
@hancymachemba • 133,243 subscribers
Co Director Nasar General Supplies, Mkulima, Mfugaji TANZANIA KWANZA 🏟Team CHELSEA
Shorts
Videos

Baada ya kuwasema Sana hatimae wachina wameanza kuweka kukwangua barabara.
Hancy Machemba28,631 просмотров • 1 год назад

Kuna wakati ufike serikali yetu itambu kuwa huku Jimbo la ukonga tunaishi walipo Kodi kama wale wa masaki. Miaka nenda Rudi maisha yetu ni haya Tu na kulishwa ahadi za kutosha. Mh Rais mama yetu Samia Suluhu hivi ndivyo hali ilivyo. Mbunge wetu Jerry Silaa ameahidi amechoka sasa
Hancy Machemba28,791 просмотров • 1 год назад

Halafu watanuna bila sababu kisa wanaambiwa Ukweli 😂😂😂😂😂
Hancy Machemba14,121 просмотров • 7 месяцев назад

Ukweli ambao wanawake wengi hawataki kuuelewa kwenye ndoa zao.
Hancy Machemba32,849 просмотров • 2 лет назад

Hii ni barabara yetu ya Kivule banana kwa wauza kuku na mayai. Ingawa barabara yetu kwa Sasa inaonekana kama tray ya mayai ila soon tutawazomea watu wa Masaki na kwingineko waliokuwa wanatucheka😂😂 Bookmark hii post nitwaonyesha yajayo namna yatafurahisha. Kelele zimesaidia sana
Hancy Machemba17,877 просмотров • 1 год назад

Maisha yetu watu wa Ukonga yamekuwa ya tabu sana miaka nenda rudi. Mwanzo tuliambiwa tatizo ni upinzani na sasa tuna mh Jerry Silaa wa CCM maisha yale yale tu. Tuliambiwa barabara nyingi zinaanza kunjengwa mwezi wa nne kupitia mradi wa DMDP na mpaka sasa sijaona mkandarasi popote
Hancy Machemba12,943 просмотров • 2 лет назад
Больше нет контента для загрузки