UZI 🧵 Kipindi cha nyuma sikuwahi kufikiria kwamba itafika siku nitaweza kutengeneza animations kama nilizokua naona kwenye TV, nilikua najisemea "Haya mambo niwaachie wenyewe" Lakini sasahivi naona ni kitu rahisi ajabu Tizama hizi mbili nilizounda kwa kutumia Blender👇