🏆 Dr.Joel Nanauka (hc) Certified Life Coach |🕴️ International Speaker 🥇 Best Selling Author | 🏅 Named in 100 Young Influential Africans | 📱0756 094 875 ⬇️
Shorts
Namshukuru Mungu leo nimekabidhiwa tuzo ya “Life Time Mentorship Excellence Award” na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr Hussein Ali Mwinyi kwenye Kongamano la Vijana lililofanyika Zanzibar Beach Resort. Kongamano hilo liliandaliwa na Global Youth Empowerment Institute. Tuzo hii imetolewa kutambua mchango wangu ninaoutoa katika kuendeleza Rasilimali watu nchini Tanzania hasa kwa kundi la Vijana. See You At The Top