
John Pambalu
@John_Pambalu • 310,691 subscribers
Former BAVICHA National chairman, Butimba ward councillor (2015-2020), MP Candidate, Activist and entrepreneur.
Shorts
Videos

Anakwambia mpinzani bora alikuwa Mrema. Halafu anaendelea kusema alikuwa KACHERO (maana yake mtumishi wa serikali halafu ndiyo mpinzani 😀😀😀). Kwa lugha rahisi anakwa kinyume chake ni sahihi, LISSU sio kachero, sio mfumo. Sasa huyo ndiyo mpinzani wa kweli watanzania wanamwamini
John Pambalu67,612 Aufrufe • vor 1 Monat

Murilo anasema zile picha na video za 29 Oktoba 2025 zilikuwa ni picha za kutengeneza, sio za kweli. So sad
John Pambalu102,189 Aufrufe • vor 10 Monaten

Dully Sykes alimsifia Makonda, mwisho akaomba radhi. Mambo yamebadilika kweli.
John Pambalu27,281 Aufrufe • vor 2 Monaten

Wosia wa Mwigizaji mkongwe wa filamu, Hashim Kambi ambaye Amefariki Dunia, Aprili 27, 2026
John Pambalu38,286 Aufrufe • vor 4 Monaten

Huyu ni mkuu wa majeshi mstaafu wakati wa Magufuli (CDF) Venance Mabeyo. Taratibu tu tutazungumza lugh moja.
John Pambalu58,569 Aufrufe • vor 8 Monaten

Pamoja na kwamba wote ni wale wale. Lakini je, umejifunza nini?.
John Pambalu23,255 Aufrufe • vor 3 Monaten

Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Taifa, Dkt. Rugemeleza Nshala hii leo Julai 03, 2026 akizungumza na Wanahabari nje ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar Es Salaam amesema Tundu Lissu ameweka pingamizi zito na ameitaka ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini hapo kumlipa fidia.
John Pambalu13,660 Aufrufe • vor 2 Monaten