
John Pambalu
@John_Pambalu • 310,691 subscribers
Former BAVICHA National chairman, Butimba ward councillor (2015-2020), MP Candidate, Activist and entrepreneur.
Shorts
Videos

Anakwambia mpinzani bora alikuwa Mrema. Halafu anaendelea kusema alikuwa KACHERO (maana yake mtumishi wa serikali halafu ndiyo mpinzani 😀😀😀). Kwa lugha rahisi anakwa kinyume chake ni sahihi, LISSU sio kachero, sio mfumo. Sasa huyo ndiyo mpinzani wa kweli watanzania wanamwamini
John Pambalu67,612 просмотров • 1 месяц назад

"Unapolalamika mtoto wako amevunjwa mguu, ameuwawa ulishindwa nini kumkataza asiende kwenye maandamano"-; Samia Suluhu
John Pambalu277,433 просмотров • 9 месяцев назад

Murilo anasema zile picha na video za 29 Oktoba 2025 zilikuwa ni picha za kutengeneza, sio za kweli. So sad
John Pambalu102,189 просмотров • 10 месяцев назад

Dully Sykes alimsifia Makonda, mwisho akaomba radhi. Mambo yamebadilika kweli.
John Pambalu27,281 просмотров • 2 месяцев назад

Wosia wa Mwigizaji mkongwe wa filamu, Hashim Kambi ambaye Amefariki Dunia, Aprili 27, 2026
John Pambalu38,286 просмотров • 4 месяцев назад

Acheni huu UPUMBAVU. Tundu Antiphas Lissu aliingia gerezani akiwa mzima wa za Afya. Yuko chini ya uangalizi wa serikali. Msidhani kama mkiamua kumuwekea SUMU ili mumsingizie HECHE, kama tutawaelewa. Enyi wenye mikono iliyojaa damu msitoe uhai wa ndugu yetu.
John Pambalu58,065 просмотров • 8 месяцев назад

Bora ningebaki kuwa mganga nile mbuzi za mafala. 😆 😄 🤣
John Pambalu21,737 просмотров • 2 месяцев назад

Huyu ni mkuu wa majeshi mstaafu wakati wa Magufuli (CDF) Venance Mabeyo. Taratibu tu tutazungumza lugh moja.
John Pambalu58,569 просмотров • 8 месяцев назад

Pamoja na kwamba wote ni wale wale. Lakini je, umejifunza nini?.
John Pambalu23,255 просмотров • 3 месяцев назад

Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Taifa, Dkt. Rugemeleza Nshala hii leo Julai 03, 2026 akizungumza na Wanahabari nje ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar Es Salaam amesema Tundu Lissu ameweka pingamizi zito na ameitaka ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini hapo kumlipa fidia.
John Pambalu13,660 просмотров • 2 месяцев назад