
John Nguti Chadema
@JohnNgutiCDM • 11,038 subscribers
Human Rights Activist & Good Rule of Law || GROUNDERS Media Communication Officer || Chairman BAVICHA Pwani Zone. || Member of CHADEMA Political Party....
Shorts
Videos

“Ninaondoka Chaumma kwa sababu inaendeshwa kwa Fedha za CCM, Chaumma sio chama cha Upinzani” Patrick Assenga.
John Nguti Chadema33,823 просмотров • 16 дней назад
0:43
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Licha ya vikwazo vingi vya Polisi, Wananchi wanaendelea kuingia Barabarani na Mabango yao yenye madai ya msingi. #D9.
John Nguti Chadema56,203 просмотров • 6 месяцев назад

Sasa nimeelewa ni kwanini alijitoa mapema, Pia kwanini Philip Mpango naye alikula kona..!!👇
John Nguti Chadema35,372 просмотров • 7 месяцев назад
0:38
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Moyo wa Samia umekuwa mgumu kuliko ule wa Farao...
John Nguti Chadema31,769 просмотров • 7 месяцев назад

"Walinivua nguo zote na kunitupa chini na kunifunga pingu Miguu na Mikono, na kunigeuza miguu juu kichwa Chini, Wakaweka ubao katikati ya miguu na mikono, Mmoja ananipiga miguuni na mwingine akinishambulia sehemu za siri" Agather Athuaire, akisimulia mateso aliyopewa Tanzania.
John Nguti Chadema42,604 просмотров • 1 год назад

Hivi ndivyo majasusi wa Marekani walivyomnyakua Rais wa Venezuela, Dikteta Nicolas Maduro.
John Nguti Chadema21,117 просмотров • 5 месяцев назад

Mapolisi wa Samia wanatuona Kama Mikundu yao sasa, Kwamba wanasema Padri NIKATA alijiteka na walimkuta akiwa mzima kabisa akiwa na afya njema? Kwa maelezo ya Raia mwema aliyemuokota anasema alimkuta akiwa kwenye hali mbaya na ililazimika akimbizwe Hospital kwa matibabu ya haraka
John Nguti Chadema26,227 просмотров • 7 месяцев назад

Hapa ni Tanzania, Na hapa ni Arumeru, Wananchi wamepoteza kabisa tumaini la kuiona kesho. #SamiaMustGo.
John Nguti Chadema18,671 просмотров • 6 месяцев назад

Serikali ya Samia mtateka na kuuwa wangapi? #FreeDeusdedithSoka
John Nguti Chadema38,983 просмотров • 1 год назад

Vikosi vya Samia viliuwa watu wengi wakiwa majumbani kwao, Mama wa Familia hii ameuwawa akiwa sebuleni na Familia yake.!!
John Nguti Chadema14,648 просмотров • 7 месяцев назад

Nisaidieni kuficha hii wale Wakatoliki wa Kuchaji wasiione😄👇
John Nguti Chadema10,252 просмотров • 5 месяцев назад