
Jon Mrema
@JonMrema • 211,724 subscribers
CHAUMMA Director for Communications and Publicity .
Shorts
Videos

Leo Jumatano tarehe 14 Mei,2025 , Mwanaharakati wa Maria Sarungi Hilda Newton ameandika kwenye mtandao wake wa X kwamba mimi John Mrema niko Kahama , Shinyanga nikishawishi wanachama wa Chadema wajiondoe kwenye chama chao na kwamba nilikuwa na DC wa huko . Nimeamua kurekodi video hii majira ya saa tisa na dakika 25 mchana huu ,kuonyesha walivyo waongo ,wazushi,wazandiki na wafitini. Mimi niko Dar ,sijasafiri, wanachama wao wanahama kwa utashi wao wenyewe kwani ni watu wazima na wenye weledi . Wamechoka ulaghai wa wanaharakati ambao wanaharibu chama chao . Mnaoendelea kuwaamini ,endeleeni ila jueni ni waongo kwa kila kitu .
Jon Mrema214,395 views • 1 year ago

Haya Ukweli hupanda ngazi ,Uongo hupanda lift...tuendelee kula mtori,nyama ziko chini ...
Jon Mrema26,617 views • 11 months ago
1:57
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Katibu Mkuu John Mnyika akisoma Maazimio ya Mkutano Mkuu wa Chama Januari 21,2025 katika Ukumbi wa Mlimani City. Wale ambao mnasema kuwa G-55 inapinga maazimio ya vikao vya Chama na wengine wameandikiwa barua za kujieleza kuwa wanapinga maazimio halali ya Chama ,onyesheni azimio linalosema kuwa tutazuia uchaguzi, kilichopo hapo ni Chama kujiandaa na uchaguzi na kujiandaa kuongoza dola baada ya uchaguzi . Wale wa matusi ruksa kuendelea nayo.
Jon Mrema26,210 views • 1 year ago

Kinachomsumbua Mzee Hashim Rungwe chatajwa . Afya yake yaimarika .
Jon Mrema17,004 views • 11 months ago
1:13
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Mgombea wa Mtaa Mageuzi kata ya Ngokolo Jimbo la Shinyanga Mjini ambaye ameshuhudia askari wa Jeshi la Polisi wakiongozwa askari Polisi anayefahamika kwa Jina la Tiba akiingiza kura Feki kwenye masanduku ya kupigia kura OFISI YA WAZIRI MKUU - TAMISEMI Police Force TZ
Jon Mrema12,934 views • 1 year ago
No more content to load