
Jon Mrema
@JonMrema • 211,724 subscribers
CHAUMMA Director for Communications and Publicity .
Shorts
Videos

Leo Jumatano tarehe 14 Mei,2025 , Mwanaharakati wa Maria Sarungi Hilda Newton ameandika kwenye mtandao wake wa X kwamba mimi John Mrema niko Kahama , Shinyanga nikishawishi wanachama wa Chadema wajiondoe kwenye chama chao na kwamba nilikuwa na DC wa huko . Nimeamua kurekodi video hii majira ya saa tisa na dakika 25 mchana huu ,kuonyesha walivyo waongo ,wazushi,wazandiki na wafitini. Mimi niko Dar ,sijasafiri, wanachama wao wanahama kwa utashi wao wenyewe kwani ni watu wazima na wenye weledi . Wamechoka ulaghai wa wanaharakati ambao wanaharibu chama chao . Mnaoendelea kuwaamini ,endeleeni ila jueni ni waongo kwa kila kitu .
Jon Mrema214,395 次观看 • 1 年前
1:57
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Katibu Mkuu John Mnyika akisoma Maazimio ya Mkutano Mkuu wa Chama Januari 21,2025 katika Ukumbi wa Mlimani City. Wale ambao mnasema kuwa G-55 inapinga maazimio ya vikao vya Chama na wengine wameandikiwa barua za kujieleza kuwa wanapinga maazimio halali ya Chama ,onyesheni azimio linalosema kuwa tutazuia uchaguzi, kilichopo hapo ni Chama kujiandaa na uchaguzi na kujiandaa kuongoza dola baada ya uchaguzi . Wale wa matusi ruksa kuendelea nayo.
Jon Mrema26,210 次观看 • 1 年前
1:13
Sensitive content
This media may contain sensitive content.
没有更多内容可加载