
MeaMswahili
@meamswahili • 22,344 subscribers
GOD First 🙏... East Africa Kid, From Tanzania 🇹🇿 Entertainment || Sports || Trending news & Life style. #WeAreStillInTheRace.
Shorts
Videos

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Rais wa Mongolia 🇲🇳 Ukhnaagiin Khurelsukh (miaka 58), ametamba sana mitandaoni baada ya kuonekana akiinua uzito wa pauni 220 (takriban kilo 100) mara 20 kwenye bench press. Tukio hilo lilitokea alipotembelea kituo cha jeshi. Alivua koti la suti, akafanya marudio hayo mbele ya wanajeshi, kisha akasalimiana nao. #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili44,267 views • 6 days ago

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Producer Master J ambaye pia ni Jaji wa BSS amechukizwa kwa maamuzi ya Majaji wenzake kumtupa nafasi ya nne Freya mshiriki kutoka Congo. Baadhi ya taarifa zilisambaa kuwą Masterj Jana hakuwepo kwenye fainali ya BSS kwasababu zilizotajwa kuwa na mgogoro na Wenzake lakini ukimsikiliza Vizuri MasterJ utagundua alikuwa nje ya nchi. #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili32,215 views • 2 months ago

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Mwenyekiti Wa Taasisi Ya Mama Ongea Na Mwanao Steve Nyerere Awavaa Wanasiasa Wanaosema Wasanii Wanatumika Kisiasa Kupitia Tamasha La Miaka 30 Ya Bongo Flava. Steve Amesema Jukwaa Hilo Lina Mchango Mkubwa Kwa Vijana Wapo Wasanii Walipotea Na Kuingia Kwenye Matumizi Ya Dawa Za Kulevya lakini Tamasha Hilo limekuja kuwaokoa Na kuwaheshimisha. #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili15,442 views • 1 month ago

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 “Huwezi Ukaiangusha Iran 🇮🇷 Mimi Nakuhakikishia Leo” - Prophet IPM. #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili35,088 views • 6 months ago

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Katibu wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Benjamin Ntele, amesema kuwa mtu aliyejitambulisha hadharani kwa jina la Shaban Ally Mchezo na kudai kuwa ni Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kibaha Vijijini si kiongozi halali wa chama. Ntele amesema katika kuthibitisha hilo, amemleta mbele ya waandishi wa habari Shaban Ally Mchezo halali, ambaye amewasilisha uthibitisho wa utambulisho wake kupitia Kitambulisho cha Taifa (NIDA) na Kitambulisho cha Mpiga akura. Akizungumza katika mkutano huo, Shaban Ally Mchezo amesema amekuwa akirubuniwa mara kadhaa ili akihujumu CHADEMA, lakini alikataa kufanya hivyo. Amesema baada ya kushindwa kumshawishi, ndipo alijitokeza mtu mwingine akitumia jina lake na kujitambulisha kuwa ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kibaha Vijijini. 🎥: Zungu #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili14,097 views • 2 months ago
1:33
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Nchi ya iran 🇮🇷 inazidi kushangaza kwa namna walijipanga wakati Marekani 🇺🇸 na Israel 🇮🇱 anapiga maeneo yake ya Kijeshi wakiamini ndipo Makombora na silaha zilipo. Kumbe Iran 🇮🇷 wana makombora chini ya ardhi yanatoka bila launch pad kama uinavyo videoni👇
MeaMswahili18,320 views • 6 months ago