#ntvjioni

Matatu Hatari Kama Nyoka Watu watano wamefariki na 12 kujeruhiwa kufuatia madoido, mbwembwe na ushindani uliopo kwenye matatu za kisasa jijini Nairobi (nganya). Matatu hiyo ilianguka ikifanya sarakasi hatari zinazojulikana kama "Manyoka". #NTVJioni Lofty Matambo Labaan Shabaan Elimlim Edung
NTV Kenya56,256 次观看 • 19 天前

Wanafunzi Washukiwa Wakamatwa: Polisi wanachunguza uwezekano wa moto uliowashwa kimakusudi katika shule ya Utumishi Girls Senior School mjini Gilgil uliosababisha vifo vya wanafunzi 16. Wanafunzi wasiopungua 10 wanazuiliwa na polisi. #NTVJioni Fred Muitiriri Ibrahim Karanja.
NTV Kenya43,773 次观看 • 26 天前












