#ntvwikendi

Runda, Karen Zaongoza Kwa Floraidi Mitaa ya Runda na Karen inaongoza kwa visima vya maji yaliyo na viwango vya juu zaidi vya Fluoride. Nairobi pekee ina visima vya maji 18,000. Floraidi inatambulika kwa kubadilisha rangi ya meno na kuwa hudhurngi. #NTVWikendi Nicholas Wambua
NTV Kenya88,301 次观看 • 1 个月前









