Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
10 Scams in Kenya Right Now
90,910 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Hiyo ya gari kuambiwa eti funga mlango vizuri nayo imewainifanyikia, na nikaambiwa eti kuna kitu imeanguka ebu angalia kama uko na simu yako. Na ukistep tu chini gari inaondoka, nilifuata barabara lakini nilikuja kujua baadaye eti ni wizi baada ya rafiki yangu kufanyiwa the same!

Yeah hivyo ndio wanafanyanga

Resisting the Cashless Society: 10 Compelling Reasons to Preserve Cash Transactions #money #lifestyle

Hii content yako pelekea watu wa ocha kwenu. This is not X content buana.

Kuna ya online writing mzee. Unaambiwa create an account. Alafu activate na pesa. Ukisha activate wanakuambia activate to premium to access all jobs. Unafanya kazi ukiexpect ulipwe huoni pesa. Wanakupea excuses eti kazi umefanya ni mbaya. Do corrections zenye hata huoni.

Ongea haraka tuko na hasira

Ii content yako bro huku X hiwezi

Kuna wale wa kuincrease libido🤣🤣🤣

Scam kubwa na client hawezi complain juu ya aibu

Hiyo ya gari nimekipitia. Kumbe hiyo ndo formula

Yeap


