Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

A few moments later!!😂😂

92,404 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Rusianboy💱
Rusianboy💱1 год назад

Dunia imejaa watu makatili sana.Dunia ina wakatishaji tamaa waliobobea na wa kimataifa. Usipojitathimini mweenyewe jiandae kutolewa nje ya mstari. Hakuna mwenye haki ya ku jugde mtu na hakuna aijuaye kesho. Believe in you

Фото профиля Masaki
Masaki1 год назад

🤝

Фото профиля Rock Paper Sizzle
Rock Paper Sizzle1 год назад

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

Фото профиля 𝐉𝐮𝐥𝐢𝐮𝐬
𝐉𝐮𝐥𝐢𝐮𝐬1 год назад

Comment ya salama ilikuwa ni kweli kabisa na perhaps baada ya trial and error nyingi ndio amekuja jipata kwenye version hii ya masozi

Фото профиля Mwananchi wa Kawaida
Mwananchi wa Kawaida1 год назад

Kumbe huo wimbo wa masozi umeimbwa na mwanaume, Jesus?

Фото профиля Immanuel
Immanuel1 год назад

Hapo jaji ni mmoja tu, hao wengine hakuna kitu wanajua kuhusu mziki

Фото профиля Xtona
Xtona1 год назад

Ila hawa bss hawana sikio la mziki, cheki hata washindi wao, hamna kitu

Фото профиля Ozabanga
Ozabanga1 год назад

Ma Jaji wa BSS isipokuwa MJ, Ritha na Salama hawana jicho la kubaini talent ya mtu hasa akiwa underground.Ritha yupo hapo kwasababu ndio mwenye mchango Salama kwa sababu ya ukax Tu.

Фото профиля mkapa
mkapa1 год назад

Tusipindishe maneno huyu dogo hajui kuimba

Фото профиля Philosopher Mswahili
Philosopher Mswahili1 год назад

Nadhani Hawa ni watu wawili Tofauti na majaji walikuwa sahihi .Mtu amekuja na style ya kubana sauti mpaka anakuwa mdada unamfanyaje?..Nadhani walimsaidia kuwa msanii bora kwa kile walichofanya

Фото профиля makota1809
makota18091 год назад

Hii ngoma ni nagwa...muziki mzuri Sana🙌..my favourite of all time

Похожие видео