ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

A few moments later!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

92,404 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

11 ๆก่ฏ„่ฎบ

Rusianboy๐Ÿ’ฑ ็š„ๅคดๅƒ
Rusianboy๐Ÿ’ฑ1 ๅนดๅ‰

Dunia imejaa watu makatili sana.Dunia ina wakatishaji tamaa waliobobea na wa kimataifa. Usipojitathimini mweenyewe jiandae kutolewa nje ya mstari. Hakuna mwenye haki ya ku jugde mtu na hakuna aijuaye kesho. Believe in you

Masaki ็š„ๅคดๅƒ
Masaki1 ๅนดๅ‰

๐Ÿค

Rock Paper Sizzle ็š„ๅคดๅƒ
Rock Paper Sizzle1 ๅนดๅ‰

๐Ÿ’ช Merica, we're taking it back. ๐Ÿ’ฏ You like Trump, you know it, time to show it. โœ… T's for Trump here:

๐‰๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฎ๐ฌ ็š„ๅคดๅƒ
๐‰๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฎ๐ฌ1 ๅนดๅ‰

Comment ya salama ilikuwa ni kweli kabisa na perhaps baada ya trial and error nyingi ndio amekuja jipata kwenye version hii ya masozi

Mwananchi wa Kawaida ็š„ๅคดๅƒ
Mwananchi wa Kawaida1 ๅนดๅ‰

Kumbe huo wimbo wa masozi umeimbwa na mwanaume, Jesus?

Immanuel ็š„ๅคดๅƒ
Immanuel1 ๅนดๅ‰

Hapo jaji ni mmoja tu, hao wengine hakuna kitu wanajua kuhusu mziki

Xtona ็š„ๅคดๅƒ
Xtona1 ๅนดๅ‰

Ila hawa bss hawana sikio la mziki, cheki hata washindi wao, hamna kitu

Ozabanga ็š„ๅคดๅƒ
Ozabanga1 ๅนดๅ‰

Ma Jaji wa BSS isipokuwa MJ, Ritha na Salama hawana jicho la kubaini talent ya mtu hasa akiwa underground.Ritha yupo hapo kwasababu ndio mwenye mchango Salama kwa sababu ya ukax Tu.

mkapa๎จ€ ็š„ๅคดๅƒ
mkapa๎จ€1 ๅนดๅ‰

Tusipindishe maneno huyu dogo hajui kuimba

Philosopher Mswahili ็š„ๅคดๅƒ
Philosopher Mswahili1 ๅนดๅ‰

Nadhani Hawa ni watu wawili Tofauti na majaji walikuwa sahihi .Mtu amekuja na style ya kubana sauti mpaka anakuwa mdada unamfanyaje?..Nadhani walimsaidia kuwa msanii bora kwa kile walichofanya

makota1809 ็š„ๅคดๅƒ
makota18091 ๅนดๅ‰

Hii ngoma ni nagwa...muziki mzuri Sana๐Ÿ™Œ..my favourite of all time

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘