Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

A few moments later!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

92,404 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

11 Comments

Rusianboy๐Ÿ’ฑ's profile picture
Rusianboy๐Ÿ’ฑ1 year ago

Dunia imejaa watu makatili sana.Dunia ina wakatishaji tamaa waliobobea na wa kimataifa. Usipojitathimini mweenyewe jiandae kutolewa nje ya mstari. Hakuna mwenye haki ya ku jugde mtu na hakuna aijuaye kesho. Believe in you

Masaki's profile picture
Masaki1 year ago

๐Ÿค

Rock Paper Sizzle's profile picture
Rock Paper Sizzle1 year ago

๐Ÿ’ช Merica, we're taking it back. ๐Ÿ’ฏ You like Trump, you know it, time to show it. โœ… T's for Trump here:

๐‰๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฎ๐ฌ's profile picture
๐‰๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฎ๐ฌ1 year ago

Comment ya salama ilikuwa ni kweli kabisa na perhaps baada ya trial and error nyingi ndio amekuja jipata kwenye version hii ya masozi

Mwananchi wa Kawaida's profile picture
Mwananchi wa Kawaida1 year ago

Kumbe huo wimbo wa masozi umeimbwa na mwanaume, Jesus?

Immanuel's profile picture
Immanuel1 year ago

Hapo jaji ni mmoja tu, hao wengine hakuna kitu wanajua kuhusu mziki

Xtona's profile picture
Xtona1 year ago

Ila hawa bss hawana sikio la mziki, cheki hata washindi wao, hamna kitu

Ozabanga's profile picture
Ozabanga1 year ago

Ma Jaji wa BSS isipokuwa MJ, Ritha na Salama hawana jicho la kubaini talent ya mtu hasa akiwa underground.Ritha yupo hapo kwasababu ndio mwenye mchango Salama kwa sababu ya ukax Tu.

mkapa๎จ€'s profile picture
mkapa๎จ€1 year ago

Tusipindishe maneno huyu dogo hajui kuimba

Philosopher Mswahili's profile picture
Philosopher Mswahili1 year ago

Nadhani Hawa ni watu wawili Tofauti na majaji walikuwa sahihi .Mtu amekuja na style ya kubana sauti mpaka anakuwa mdada unamfanyaje?..Nadhani walimsaidia kuwa msanii bora kwa kile walichofanya

makota1809's profile picture
makota18091 year ago

Hii ngoma ni nagwa...muziki mzuri Sana๐Ÿ™Œ..my favourite of all time

Related Videos