ๆญฃๅจๅ ่ฝฝ่ง้ข...
่ง้ขๅ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ
A few moments later!!๐๐
11 ๆก่ฏ่ฎบ

Dunia imejaa watu makatili sana.Dunia ina wakatishaji tamaa waliobobea na wa kimataifa. Usipojitathimini mweenyewe jiandae kutolewa nje ya mstari. Hakuna mwenye haki ya ku jugde mtu na hakuna aijuaye kesho. Believe in you

๐ค

๐ช Merica, we're taking it back. ๐ฏ You like Trump, you know it, time to show it. โ T's for Trump here:

Comment ya salama ilikuwa ni kweli kabisa na perhaps baada ya trial and error nyingi ndio amekuja jipata kwenye version hii ya masozi

Kumbe huo wimbo wa masozi umeimbwa na mwanaume, Jesus?

Hapo jaji ni mmoja tu, hao wengine hakuna kitu wanajua kuhusu mziki

Ila hawa bss hawana sikio la mziki, cheki hata washindi wao, hamna kitu

Ma Jaji wa BSS isipokuwa MJ, Ritha na Salama hawana jicho la kubaini talent ya mtu hasa akiwa underground.Ritha yupo hapo kwasababu ndio mwenye mchango Salama kwa sababu ya ukax Tu.

Tusipindishe maneno huyu dogo hajui kuimba

Nadhani Hawa ni watu wawili Tofauti na majaji walikuwa sahihi .Mtu amekuja na style ya kubana sauti mpaka anakuwa mdada unamfanyaje?..Nadhani walimsaidia kuwa msanii bora kwa kile walichofanya

Hii ngoma ni nagwa...muziki mzuri Sana๐..my favourite of all time
