Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

139,412 görüntüleme • 3 ay önce •via X (Twitter)

0 Yorum

Yorum bulunmuyor

Orijinal gönderinin yorumları burada görünecek

Benzer Videolar

Uffff abbbbbaaa 🥵🤙💥
0:25

Sensitive content

Uffff abbbbbaaa 🥵🤙💥

⃟𝐌𝐨𝐡!𝐭𝐡𝐚⃝🌺

82,391 görüntüleme • 3 yıl önce

Ikitokea tumepata serikali mpya nje ya chama cha mbogamboga jeshi la polisi lote linapaswa kufanyiwa overhaul. 1- Idara ya Field Force Unit - FFU ni ya kufuta kabisa waende nyumbani kwa sababu hawana kazi yoyote. Mara nyingi wanatumika vipindi vya uchaguzi kupiga mabomu na risasi na wakati mwingine kuvuruga mikutano ya upinzani. Baada ya hapo ni kurudi kambini kucheza draft na bao wakisubiri kipindi cha uchaguzi au mikutano ya upinzani wakapige mabomu. Yani askari zaidi ya elfu 15 wa FFU wanalipwa mshahara kwa ajili ya kazi hiyo tu. Hii ni hasara kwa taifa. Jambo lingine askari waliopo FFU ni adhabu baada ya kufanya makosa makubwa kwenye idara zingine za polisi. Kwa hiyo ukweli ni kwamba FFU yote imejaa vibaka waliopaswa kufukuzwa kazi kwa makosa mbalimbali waliyoyafanya kwenye idara zingine. Ndio maana unaona hawana nidhamu wala heshima na wanaendeshwa tu kama robot wanavunja watu miguu, kudhalilisha watu, kuwang'atisha mbwa watu na kuua watu kama walivyofanya majuzi pale Kisutu. Na walivyo bumunda utasikia inamisha vichwa chini msituangalie sura. Yani wanaamini kuwainamisha vichwa chini watu wanaowafanyia unyama ni salama kwao kutotambulika. Kumbe kutambulika ni suala la muda tu, mkibadilisha serikali anabanwa mkuu wakikosi analeta orodha ya askari wote waliohusika na oparesheni husika. 2 - Tunaweza kuanzisha idara mpya ya upelelezi nje ya polisi kama ilivyo FBI. Hii idara ya upelelezi inayojitegemea nje ya polisi tunaweza kuipa jina la Tanzania Top Bureau of Investigation - TTBI. Idara hii mpya haiitaji watumishi wengi. Inahitaji watumishi wasiozidi elfu 6 tu na wanahitaji ofisi moja kila mkoa na watumishi wasiozidi 300 kila mkoa. Zile Camp za FFU tunaweza kugeuza kuwa ofisi za idara hii. Kazi yao kubwa ni kila mkoa ni kufanya upelelezi wa makosa makubwa makubwa kama vile mauaji, human trafficking, ufisadi serikalini, ugaidi na mengine yanayofanana na hayo. Sare zao zinaweza kuwa nyeusi. Polisi wanaweza kubakia na upelelezi wa kesi ndogo ndogo kama wizi wa kuku, baiskel na vikesi vingine vya aina hiyo. Hii itasaidia kukomesha mateso na utekaji. Ukweli ni kwamba vikosi kazi Task force vinavyotumiwa kuteka watu vinaundwa na ma-RCO vina askari kanzu ambao mafunzo yao ya kufanya upelelezi ni madogo mno. Ndio maana hawana njia nyingine zaidi ya kupiga na kutoa mateso mengine kwa watuhumiwa wakiwalazimisha watoe majibu wanayotaka wao. Ikitokea mtuhumiwa ameamua kusema uongo ili kuwarilidhisha wasimpige basi wakigundua wamedanganywa humuua na kwenda kutupa mwili wake huko alikootwa SIR TIVA au mto Ruvu kwenye masalia ya mamba na maeneo mengine. Kumbe tunaweza kuwa na idara ambayo inaweza kufanya upelelezi na kukusanya ushahidi bila kuteka na kuua watu. Tukiwa na idara ya upelelezi ya viwango vya namna hii inaweza kupata sifa hadi nje ya nchi yetu. Kwamba waombaji wa nafasi za kazi wawe na fani mbalimbali zinazoweza kusaidia kufanya upelelezi mfano Cyber, udaktari, ukemia, sheria na fani zingine zinazoweza kusaidia upelelezi. Mafunzo yao yawe ya hali ya juu na vifaa vya kusaidia uchunguzi vya kisasa kabisa. Kwa hatua za kwanza tunaweza kutafuta wakufunzi FBI na mashirika mengine makubwa kwenye nchi ambazo ni rafiki wa Tanzania. Kwamba wanafunzi kwenye chuo hicho wanafundishwa na kuivushwa namna ya kufanya upelelezi na kukusanya ushahidi bila kumuumiza au kumlazimisha mtuhumiwa. Lakini pia idara hii inakuwa na askari ambao wanafundishwa namna ya kudhibiti vurugu bila kuua au kuvunja viungo watuhumiwa kama wanavyofanya hawa vibaka wenu. Tukianzisha idara hii itasaidia sana kwenye nyakati hizi ambazo technology imekua na watu hawaibi tena kwa bunduki na badala yake wanaiba kwa kutumia akili na technology. Huu ushauri kwa undani zaidi upo katika kitabu changu lakini pia ulishawahi kuchapishwa kwenye baadhi ya magazeti. Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.

Mdude Nyagali

39,775 görüntüleme • 1 yıl önce

Keringetan banget, kamu jijik gak?
0:28

Sensitive content

Keringetan banget, kamu jijik gak?

Sean

458,075 görüntüleme • 7 gün önce