Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Abdul angeuawa angesema kifo ni kifo

62,159 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

Chacha Heche's profile picture
Chacha Heche2 years ago

Na kauli za Rais ndizo zimehalalisha utekaji dhahiri

Mdunguaji's profile picture
Mdunguaji2 years ago

Mwaipaya umeongea mpaka Mwili umenisisimka,kama Taifa hawa Maccm na Polisi wao wanatupeleka pabaya sana,hawa Watu ni Makatili sana,sikutegemea kama Mama yao angeongea maneno Hatari na yatakayosababisha kushamiri kwa Utekaji na Mauwaji

Mdunguaji's profile picture
Mdunguaji2 years ago

Watu wakiongea Ukweli kama huu wa kupinga Watanzania Kuonewa,Kutekwa na Kuuwawa hukawii kuskia Twaha katekwa na Kuuwawa,maneno kama haya ya Kijasiri na Kizalendo yanayowapambania Watanzania mnatuaminishaje kama Watekaji sio Polisi wanaotumwa na Maccm

Tonny's profile picture
Tonny2 years ago

very good presentation

SUNSHINE's profile picture
SUNSHINE2 years ago

Hii nd tifauat ya vijna wa chadema na ccm Vijna wanaupeo wanajielewa wanajua wanahitaji nn .vijna jasir na wenye ufahana na sio wapiga makofii 👏.. Mungu Linda vijna wetu wa chadema na wote wenye kuioenda nchi yao Amina

Singizi JR's profile picture
Singizi JR2 years ago

Umeongea kwa hisia na lugha nyepesi, ata mtu menye uelewa mdogo ukimsikilizisha / kumwonyesha hii anapata muda wa kutafakari

bened's profile picture
bened2 years ago

Dah

Baraka Maurice's profile picture
Baraka Maurice2 years ago

Umeongea kwa hisia sana Kaka 👏👏👏

ULIZA DEUSOKA's profile picture
ULIZA DEUSOKA2 years ago

Umemaliza Kiongozi na kikao kikaishia hapo. Auwawe Abdul na Wanu tusikie kifo ni kifo tu. @SuluhuSamia ni motherfucker kabisa kabisa. Samia Hawezi. Hatoshi na Hafai kuwa Rais wa Tanzania.

Ndolezi's profile picture
Ndolezi2 years ago

Well done ✅

Related Videos