Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

AC yaleta kasheshe Arusha.

49,149 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Michaelson
Michaelsonvor 1 Jahr

Hivi hili lilipaswa kuwa swala la kufokeana hivyo? Au mimi ndio sijui, si suala la kurekebisha tu? Kwanini wagombane yaani?

Profilbild von THE ANCESTOR
THE ANCESTORvor 1 Jahr

Kama vile hawana vikal vya CMT😁😁 na wote wapo ofisi moja ya Halmashauri😄

Profilbild von M A G I R I
M A G I R Ivor 1 Jahr

Watatoana damu.

Profilbild von ELECTRICAL POSTS AND TIPS⚡️⚡️
ELECTRICAL POSTS AND TIPS⚡️⚡️vor 1 Jahr

Umepiga 3/4yrs Umeme Pale Mjini DIT unakja kuchabangwa mbele ya Camera sema Eng kaogpa ila..io AC itafungwa fresh Tu ukuta utabolewa kimasta pipe za AC zitatolewa kwa Nje kimasta na outdoor yake Umeme utafika Tu kwenye io AC kwakuwa washapga rangi waweke truncks. .

Profilbild von rogega
rogegavor 1 Jahr

Changamoto ninayoiona hapa wataalamu wengi hawajui chain of communication. Kama michoro iliyopitishwa wizarani haina AC anasema AC hamna kwanini hamna anaeleza sababu zake za kitaalamu na kama kuna uhitaji anasema atawekaje. Sema nae inaonekana hana taarifa nyingi kuhusu anachoki

Profilbild von Mzalendo
Mzalendovor 1 Jahr

Sijawahi kuona DED wa hovyo hivi.... Hapo kama hajui anajivua nguo mwenyewe...hao watu wote wako chini yake..alifaa awaite ofisini wajadiliane au kufokeana huko ofisini... Sasa kama wasaidizi wako hawako sawa kwann msikae ofisini kuona changamoto ninini Hovyo sana

Profilbild von Thedreamer UX/UI
Thedreamer UX/UIvor 1 Jahr

Siku izi kila mtu akiwa mbele ya camera kila mtu ni expert hasa hawa viongozi wetu...wajifunze kuheshimu taaluma za watu ..itasaidia sio kila mtu anaweza anaweza kuongea mbele ya camera mana sio kila mtu ni mtu wa siasa 🚮🚮🚮🚮

Profilbild von Damasen
Damasenvor 1 Jahr

Tunaposali tukumbuke kumuomba Mungu atujalie hekima, kwa mtu mwenye hekima ili sio swala lakumfokea mtu tena mbele ya camera Imagine unamuona mamako au dadako kuna mtu yuko ananyoshea kidole kwenye hadhara afu anamwambia unajielewa kweli kisa AC that feelings

Profilbild von Olvaris Lasway (Mr Drip💧)
Olvaris Lasway (Mr Drip💧)vor 1 Jahr

Tukiendelea kukubali viongozi kufanya udhalilishaji wa watumishi Kwa sababu ya political gain, tutaua taaluma na ufanisi wa kazi Hii sio sawa

Profilbild von B fenanders 8
B fenanders 8vor 1 Jahr

Ila ni uzembe na mazoea ya kazi , wakati Kuna watu wana fvyeti wako nyumbani shubaamiti

Ähnliche Videos