Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

AC yaleta kasheshe Arusha.

49,152 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Michaelson
Michaelson1 год назад

Hivi hili lilipaswa kuwa swala la kufokeana hivyo? Au mimi ndio sijui, si suala la kurekebisha tu? Kwanini wagombane yaani?

Фото профиля THE ANCESTOR
THE ANCESTOR1 год назад

Kama vile hawana vikal vya CMT😁😁 na wote wapo ofisi moja ya Halmashauri😄

Фото профиля M A G I R I
M A G I R I1 год назад

Watatoana damu.

Фото профиля ELECTRICAL POSTS AND TIPS⚡️⚡️
ELECTRICAL POSTS AND TIPS⚡️⚡️1 год назад

Umepiga 3/4yrs Umeme Pale Mjini DIT unakja kuchabangwa mbele ya Camera sema Eng kaogpa ila..io AC itafungwa fresh Tu ukuta utabolewa kimasta pipe za AC zitatolewa kwa Nje kimasta na outdoor yake Umeme utafika Tu kwenye io AC kwakuwa washapga rangi waweke truncks. .

Фото профиля rogega
rogega1 год назад

Changamoto ninayoiona hapa wataalamu wengi hawajui chain of communication. Kama michoro iliyopitishwa wizarani haina AC anasema AC hamna kwanini hamna anaeleza sababu zake za kitaalamu na kama kuna uhitaji anasema atawekaje. Sema nae inaonekana hana taarifa nyingi kuhusu anachoki

Фото профиля Mzalendo
Mzalendo1 год назад

Sijawahi kuona DED wa hovyo hivi.... Hapo kama hajui anajivua nguo mwenyewe...hao watu wote wako chini yake..alifaa awaite ofisini wajadiliane au kufokeana huko ofisini... Sasa kama wasaidizi wako hawako sawa kwann msikae ofisini kuona changamoto ninini Hovyo sana

Фото профиля Thedreamer UX/UI
Thedreamer UX/UI1 год назад

Siku izi kila mtu akiwa mbele ya camera kila mtu ni expert hasa hawa viongozi wetu...wajifunze kuheshimu taaluma za watu ..itasaidia sio kila mtu anaweza anaweza kuongea mbele ya camera mana sio kila mtu ni mtu wa siasa 🚮🚮🚮🚮

Фото профиля Damasen
Damasen1 год назад

Tunaposali tukumbuke kumuomba Mungu atujalie hekima, kwa mtu mwenye hekima ili sio swala lakumfokea mtu tena mbele ya camera Imagine unamuona mamako au dadako kuna mtu yuko ananyoshea kidole kwenye hadhara afu anamwambia unajielewa kweli kisa AC that feelings

Фото профиля Olvaris Lasway (Mr Drip💧)
Olvaris Lasway (Mr Drip💧)1 год назад

Tukiendelea kukubali viongozi kufanya udhalilishaji wa watumishi Kwa sababu ya political gain, tutaua taaluma na ufanisi wa kazi Hii sio sawa

Фото профиля B fenanders 8
B fenanders 81 год назад

Ila ni uzembe na mazoea ya kazi , wakati Kuna watu wana fvyeti wako nyumbani shubaamiti

Похожие видео