Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

AC yaleta kasheshe Arusha.

49,152 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Michaelson profil fotoğrafı
Michaelson1 yıl önce

Hivi hili lilipaswa kuwa swala la kufokeana hivyo? Au mimi ndio sijui, si suala la kurekebisha tu? Kwanini wagombane yaani?

THE ANCESTOR profil fotoğrafı
THE ANCESTOR1 yıl önce

Kama vile hawana vikal vya CMT😁😁 na wote wapo ofisi moja ya Halmashauri😄

M A G I R I profil fotoğrafı
M A G I R I1 yıl önce

Watatoana damu.

ELECTRICAL POSTS AND TIPS⚡️⚡️ profil fotoğrafı
ELECTRICAL POSTS AND TIPS⚡️⚡️1 yıl önce

Umepiga 3/4yrs Umeme Pale Mjini DIT unakja kuchabangwa mbele ya Camera sema Eng kaogpa ila..io AC itafungwa fresh Tu ukuta utabolewa kimasta pipe za AC zitatolewa kwa Nje kimasta na outdoor yake Umeme utafika Tu kwenye io AC kwakuwa washapga rangi waweke truncks. .

rogega profil fotoğrafı
rogega1 yıl önce

Changamoto ninayoiona hapa wataalamu wengi hawajui chain of communication. Kama michoro iliyopitishwa wizarani haina AC anasema AC hamna kwanini hamna anaeleza sababu zake za kitaalamu na kama kuna uhitaji anasema atawekaje. Sema nae inaonekana hana taarifa nyingi kuhusu anachoki

Mzalendo profil fotoğrafı
Mzalendo1 yıl önce

Sijawahi kuona DED wa hovyo hivi.... Hapo kama hajui anajivua nguo mwenyewe...hao watu wote wako chini yake..alifaa awaite ofisini wajadiliane au kufokeana huko ofisini... Sasa kama wasaidizi wako hawako sawa kwann msikae ofisini kuona changamoto ninini Hovyo sana

Thedreamer UX/UI profil fotoğrafı
Thedreamer UX/UI1 yıl önce

Siku izi kila mtu akiwa mbele ya camera kila mtu ni expert hasa hawa viongozi wetu...wajifunze kuheshimu taaluma za watu ..itasaidia sio kila mtu anaweza anaweza kuongea mbele ya camera mana sio kila mtu ni mtu wa siasa 🚮🚮🚮🚮

Damasen profil fotoğrafı
Damasen1 yıl önce

Tunaposali tukumbuke kumuomba Mungu atujalie hekima, kwa mtu mwenye hekima ili sio swala lakumfokea mtu tena mbele ya camera Imagine unamuona mamako au dadako kuna mtu yuko ananyoshea kidole kwenye hadhara afu anamwambia unajielewa kweli kisa AC that feelings

Olvaris Lasway (Mr Drip💧) profil fotoğrafı
Olvaris Lasway (Mr Drip💧)1 yıl önce

Tukiendelea kukubali viongozi kufanya udhalilishaji wa watumishi Kwa sababu ya political gain, tutaua taaluma na ufanisi wa kazi Hii sio sawa

B fenanders 8 profil fotoğrafı
B fenanders 81 yıl önce

Ila ni uzembe na mazoea ya kazi , wakati Kuna watu wana fvyeti wako nyumbani shubaamiti

Benzer Videolar