Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

19,485 Aufrufe • vor 2 Jahren •via X (Twitter)

7 Kommentare

Profilbild von Joseph De (Leopard )🥰🥰
Joseph De (Leopard )🥰🥰vor 2 Jahren

Hakuna mtu aliyelalamika kisa nyimbo za CHADEMA, hiyo ni mbinu ya kuharibu uhusiano wa chadema na watu wengine wapigania haki katika Taifa letu. Huo ni uchonganishi.

Profilbild von Anord
Anordvor 2 Jahren

Kaka tafadhali niulize, nimeona kuna sababu eti CDM wamelalamika kipigwa wimbo wao hapo, sidhani CDM wanaweza, kwa hili kwani wao ni sehemu ya mapambano tena pakubwa zaidi, je hii itakuwa ni sababu ya kidhibiti jitihada hizi, kama ni hivyo tutajinasua vipi wenye sauti ndogo zaidi

Profilbild von japhet mmbaga
japhet mmbagavor 2 Jahren

Popote kambi, Elimu tunaenda kuitolea Nyumbani, tutapiga mdundiko, ingawa CDM hawaezi shtakia kwa Polisi eti wimbo wao umepigwa, CDM na Polisi hawajafikia aswahiba huo, tukutane nyumbani tuzungumze jambo letu kuhusu Bandari, ngorongoro, loliondo na mengineyo.

Profilbild von TEELEE
TEELEEvor 1 Jahr

New song called Life #rap #music

Profilbild von Charlie Brown
Charlie Brownvor 2 Jahren

Hii inaitwa going back to my roots.

Profilbild von Mtunza Hazina😉
Mtunza Hazina😉vor 2 Jahren

💪💪💪💪 Aluta continua mwamba👍

Profilbild von Enock Daf
Enock Dafvor 2 Jahren

Yahp.

Ähnliche Videos