Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

19,485 views • 2 years ago •via X (Twitter)

7 Comments

Joseph De (Leopard )🥰🥰's profile picture
Joseph De (Leopard )🥰🥰2 years ago

Hakuna mtu aliyelalamika kisa nyimbo za CHADEMA, hiyo ni mbinu ya kuharibu uhusiano wa chadema na watu wengine wapigania haki katika Taifa letu. Huo ni uchonganishi.

Anord's profile picture
Anord2 years ago

Kaka tafadhali niulize, nimeona kuna sababu eti CDM wamelalamika kipigwa wimbo wao hapo, sidhani CDM wanaweza, kwa hili kwani wao ni sehemu ya mapambano tena pakubwa zaidi, je hii itakuwa ni sababu ya kidhibiti jitihada hizi, kama ni hivyo tutajinasua vipi wenye sauti ndogo zaidi

japhet mmbaga's profile picture
japhet mmbaga2 years ago

Popote kambi, Elimu tunaenda kuitolea Nyumbani, tutapiga mdundiko, ingawa CDM hawaezi shtakia kwa Polisi eti wimbo wao umepigwa, CDM na Polisi hawajafikia aswahiba huo, tukutane nyumbani tuzungumze jambo letu kuhusu Bandari, ngorongoro, loliondo na mengineyo.

TEELEE's profile picture
TEELEE1 year ago

New song called Life #rap #music

Charlie Brown's profile picture
Charlie Brown2 years ago

Hii inaitwa going back to my roots.

Mtunza Hazina😉's profile picture
Mtunza Hazina😉2 years ago

💪💪💪💪 Aluta continua mwamba👍

Enock Daf's profile picture
Enock Daf2 years ago

Yahp.

Related Videos