Loading video...
Video Failed to Load
Activism is LIFE.
19,485 views • 2 years ago •via X (Twitter)
7 Comments

Hakuna mtu aliyelalamika kisa nyimbo za CHADEMA, hiyo ni mbinu ya kuharibu uhusiano wa chadema na watu wengine wapigania haki katika Taifa letu. Huo ni uchonganishi.

Kaka tafadhali niulize, nimeona kuna sababu eti CDM wamelalamika kipigwa wimbo wao hapo, sidhani CDM wanaweza, kwa hili kwani wao ni sehemu ya mapambano tena pakubwa zaidi, je hii itakuwa ni sababu ya kidhibiti jitihada hizi, kama ni hivyo tutajinasua vipi wenye sauti ndogo zaidi

Popote kambi, Elimu tunaenda kuitolea Nyumbani, tutapiga mdundiko, ingawa CDM hawaezi shtakia kwa Polisi eti wimbo wao umepigwa, CDM na Polisi hawajafikia aswahiba huo, tukutane nyumbani tuzungumze jambo letu kuhusu Bandari, ngorongoro, loliondo na mengineyo.

New song called Life #rap #music

Hii inaitwa going back to my roots.

💪💪💪💪 Aluta continua mwamba👍

Yahp.
Related Videos
Sensitive content
Never forget this bloke went after a woman when she was pregnant Now he whinges he’s lost years of his life trying to access women’s spaces Trans activism is a male supremacy movement #IStandWithSallGrover
Le_Sorelle_Arduino KPSS
348,261 views • 1 year ago

