Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

19,485 görüntüleme • 2 yıl önce •via X (Twitter)

7 Yorum

Joseph De (Leopard )🥰🥰 profil fotoğrafı
Joseph De (Leopard )🥰🥰2 yıl önce

Hakuna mtu aliyelalamika kisa nyimbo za CHADEMA, hiyo ni mbinu ya kuharibu uhusiano wa chadema na watu wengine wapigania haki katika Taifa letu. Huo ni uchonganishi.

Anord profil fotoğrafı
Anord2 yıl önce

Kaka tafadhali niulize, nimeona kuna sababu eti CDM wamelalamika kipigwa wimbo wao hapo, sidhani CDM wanaweza, kwa hili kwani wao ni sehemu ya mapambano tena pakubwa zaidi, je hii itakuwa ni sababu ya kidhibiti jitihada hizi, kama ni hivyo tutajinasua vipi wenye sauti ndogo zaidi

japhet mmbaga profil fotoğrafı
japhet mmbaga2 yıl önce

Popote kambi, Elimu tunaenda kuitolea Nyumbani, tutapiga mdundiko, ingawa CDM hawaezi shtakia kwa Polisi eti wimbo wao umepigwa, CDM na Polisi hawajafikia aswahiba huo, tukutane nyumbani tuzungumze jambo letu kuhusu Bandari, ngorongoro, loliondo na mengineyo.

TEELEE profil fotoğrafı
TEELEE1 yıl önce

New song called Life #rap #music

Charlie Brown profil fotoğrafı
Charlie Brown2 yıl önce

Hii inaitwa going back to my roots.

Mtunza Hazina😉 profil fotoğrafı
Mtunza Hazina😉2 yıl önce

💪💪💪💪 Aluta continua mwamba👍

Enock Daf profil fotoğrafı
Enock Daf2 yıl önce

Yahp.

Benzer Videolar