Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

AHAHAHAHHAHAHAHA

208,450 просмотров • 2 месяцев назад •via X (Twitter)

Комментарии: 0

Нет доступных комментариев

Здесь появятся комментарии из оригинального поста

Похожие видео

FOOTBALL 🤝MAISHA Juzi niliandika kidogo kuhusu mpira wa miguu na tafsiri ya moja kwa moja ya maisha , kwenye video alikuwa Ahmed Ally na vijana wenye changamoto ya utindio wa Ubongo kwa pamoja walikuwa wakifanya hamasa na kaulimbiu ni #HiiTunavuka Huko nyuma Ziliwahi kuwekwa slogan nyingi sana lakini hazikuweza kuwafikisha Simba walipo leo , zilifanywa hamasa hasa lakini hazikuwafikisha walipofika leo 2024/25 ni mwaka wa bahati kwa Semaji , mapema tu mwezi August alitupa msemo wa #UbayaUbwela kwenye Pre Season imetoboa na ndio msemo bora wa kimichezo nchini consistently tangu alipoutamka , kwenye leo LeoTena ya CloudsFM alisema yeye ni mtoto wa Yombo na huo msemo ameutoa huko kitaa well Nchi imeupokea na sasa inauishi. Juzi baada ya kupoteza kwa bao 2 , akaacha Fadlu na vijana wake wafanye wanachojua mazoezini yeye akawaambia mashabiki hii haijaisha na Jumatano Tunavuka nchi nzima ikaanza kuimba #HiiTunavuka Jioni ya April 9 , Shomari Kapombe kwenye panati ya Maamuzi , Jukwaa limesimama kelele kwa mbaaaali , jukwaani Semaji amejikunja kama kinda la Ndege usoni chozi likimdondoka Oooooh Yes , Goaaaaaaal na Mnyama amefuzu Nusu Fainali 🙌 Kwenye kilele cha furaha semaji anashindwa kujizuia sura imemaliza tabasamu lote kilichokuwa karibu ni machozi tu Mwanaume amelia , kwa sababu ya mpira Ahmed amedondosha chozi , kwa sababu ya mpira kila nyumba ya mwanasimba leo ni sikukuu Kaka nakukubali 👊 unawaheshimisha wanasimba , unawafanya wauishi mpira 👊

Shaffih Dauda

103,308 просмотров • 1 год назад