Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Aisee.. SLAA wa CHADEMA? 😭

174,568 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TVvor 1 Jahr

Kosa kubwa lilianzia Dodoma tarehe 12/07/2015 kwenye kumchagua mgombea mwenza Nchi hii tumekwisha

Profilbild von Mtanganyika
Mtanganyikavor 1 Jahr

Intelijensia inataarifa za mipango ya vikao ila haijui genge la watekaji ambalo limefanya matukio kadhaa tayari. Delusional

Profilbild von JOSSY🏳
JOSSY🏳vor 1 Jahr

Af mkuu hii umeionaa😂😂 itoleen hatua hii, askar wetu wanafanya mazoezi kuzuia maandamano, kwa raisi, ila hawafanyi zoezi la kukumata watekaji, na wauaji.

Profilbild von Bubelwa Kaiza
Bubelwa Kaizavor 1 Jahr

Sina tatizo na uwezo wangu wa kung'amua na kuelewa majambo, ila huyu sijamuelewa! Aliyemuelewa aniwezeshe tafadhali. Yaani raia, maaskofu, masheikh, wachungaji, mapadre, walimu na matabibu wote wanalilia hali mbaya ya usalama (insecurity) hapa nchini, halafu Rais wa JMT anazodoa!

Profilbild von M.D (🅨)
M.D (🅨)vor 1 Jahr

Mama anajazwa kwenye mifumo ya wahuni kirahisi sana.

Profilbild von Laizer🐐
Laizer🐐vor 1 Jahr

Intelegez ya mchongo ulishindwa kujua tuanfamana ngorongoro ww huna lolote tupishe rudi zako kizmkazi

Profilbild von Livingstone
Livingstonevor 1 Jahr

Tayari, nchi imeisha hii, kwisha habari!

Profilbild von Tebbe 🫦
Tebbe 🫦vor 1 Jahr

😭😭😭 Serikali ya samaki mikono juu

Profilbild von 𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿
𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿vor 1 Jahr

Kumbe iliyoruhusu ni 4R sio katiba tena😃😃😃🚮 Watu hawawajibiki Wanaiba uchaguzi Hamna tume huru 😃😃

Profilbild von Haki Huinua Taifa🇹🇿 ♻
Haki Huinua Taifa🇹🇿 ♻vor 1 Jahr

SIJATAKA HATA KUSKILIZA HADI MWISHO KIFUPI NAONA NI UJINGA UNAOFANYWA NA VIONGOZI WALIOIBA KURA SIO WALIO CHAGULIWA haiingii Akilini kuona mkuu wa nchi anasimama kusema upumbavu mkubwa namna hii kwani hawezi hata kutumia kamasi kufikiri?🥴 Bado tuko na haya MAOMBI. #TUTAANDAMANA

Ähnliche Videos