Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Aisee.. SLAA wa CHADEMA? 😭

174,568 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Tanzania Abroad TV's profile picture
Tanzania Abroad TV1 year ago

Kosa kubwa lilianzia Dodoma tarehe 12/07/2015 kwenye kumchagua mgombea mwenza Nchi hii tumekwisha

Mtanganyika's profile picture
Mtanganyika1 year ago

Intelijensia inataarifa za mipango ya vikao ila haijui genge la watekaji ambalo limefanya matukio kadhaa tayari. Delusional

JOSSY🏳's profile picture
JOSSY🏳1 year ago

Af mkuu hii umeionaa😂😂 itoleen hatua hii, askar wetu wanafanya mazoezi kuzuia maandamano, kwa raisi, ila hawafanyi zoezi la kukumata watekaji, na wauaji.

Bubelwa Kaiza's profile picture
Bubelwa Kaiza1 year ago

Sina tatizo na uwezo wangu wa kung'amua na kuelewa majambo, ila huyu sijamuelewa! Aliyemuelewa aniwezeshe tafadhali. Yaani raia, maaskofu, masheikh, wachungaji, mapadre, walimu na matabibu wote wanalilia hali mbaya ya usalama (insecurity) hapa nchini, halafu Rais wa JMT anazodoa!

M.D (🅨)'s profile picture
M.D (🅨)1 year ago

Mama anajazwa kwenye mifumo ya wahuni kirahisi sana.

Laizer🐐's profile picture
Laizer🐐1 year ago

Intelegez ya mchongo ulishindwa kujua tuanfamana ngorongoro ww huna lolote tupishe rudi zako kizmkazi

Livingstone's profile picture
Livingstone1 year ago

Tayari, nchi imeisha hii, kwisha habari!

Tebbe 🫦's profile picture
Tebbe 🫦1 year ago

😭😭😭 Serikali ya samaki mikono juu

𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿's profile picture
𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿1 year ago

Kumbe iliyoruhusu ni 4R sio katiba tena😃😃😃🚮 Watu hawawajibiki Wanaiba uchaguzi Hamna tume huru 😃😃

Haki Huinua Taifa🇹🇿 ♻'s profile picture
Haki Huinua Taifa🇹🇿 ♻1 year ago

SIJATAKA HATA KUSKILIZA HADI MWISHO KIFUPI NAONA NI UJINGA UNAOFANYWA NA VIONGOZI WALIOIBA KURA SIO WALIO CHAGULIWA haiingii Akilini kuona mkuu wa nchi anasimama kusema upumbavu mkubwa namna hii kwani hawezi hata kutumia kamasi kufikiri?🥴 Bado tuko na haya MAOMBI. #TUTAANDAMANA

Related Videos