Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Aisee.. SLAA wa CHADEMA? 😭
174,568 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
10 Kommentare

Kosa kubwa lilianzia Dodoma tarehe 12/07/2015 kwenye kumchagua mgombea mwenza Nchi hii tumekwisha

Intelijensia inataarifa za mipango ya vikao ila haijui genge la watekaji ambalo limefanya matukio kadhaa tayari. Delusional

Af mkuu hii umeionaa😂😂 itoleen hatua hii, askar wetu wanafanya mazoezi kuzuia maandamano, kwa raisi, ila hawafanyi zoezi la kukumata watekaji, na wauaji.

Sina tatizo na uwezo wangu wa kung'amua na kuelewa majambo, ila huyu sijamuelewa! Aliyemuelewa aniwezeshe tafadhali. Yaani raia, maaskofu, masheikh, wachungaji, mapadre, walimu na matabibu wote wanalilia hali mbaya ya usalama (insecurity) hapa nchini, halafu Rais wa JMT anazodoa!

Mama anajazwa kwenye mifumo ya wahuni kirahisi sana.

Intelegez ya mchongo ulishindwa kujua tuanfamana ngorongoro ww huna lolote tupishe rudi zako kizmkazi

Tayari, nchi imeisha hii, kwisha habari!

😭😭😭 Serikali ya samaki mikono juu

Kumbe iliyoruhusu ni 4R sio katiba tena😃😃😃🚮 Watu hawawajibiki Wanaiba uchaguzi Hamna tume huru 😃😃

SIJATAKA HATA KUSKILIZA HADI MWISHO KIFUPI NAONA NI UJINGA UNAOFANYWA NA VIONGOZI WALIOIBA KURA SIO WALIO CHAGULIWA haiingii Akilini kuona mkuu wa nchi anasimama kusema upumbavu mkubwa namna hii kwani hawezi hata kutumia kamasi kufikiri?🥴 Bado tuko na haya MAOMBI. #TUTAANDAMANA
