Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Aisee.. SLAA wa CHADEMA? 😭

174,568 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV1 год назад

Kosa kubwa lilianzia Dodoma tarehe 12/07/2015 kwenye kumchagua mgombea mwenza Nchi hii tumekwisha

Фото профиля Mtanganyika
Mtanganyika1 год назад

Intelijensia inataarifa za mipango ya vikao ila haijui genge la watekaji ambalo limefanya matukio kadhaa tayari. Delusional

Фото профиля JOSSY🏳
JOSSY🏳1 год назад

Af mkuu hii umeionaa😂😂 itoleen hatua hii, askar wetu wanafanya mazoezi kuzuia maandamano, kwa raisi, ila hawafanyi zoezi la kukumata watekaji, na wauaji.

Фото профиля Bubelwa Kaiza
Bubelwa Kaiza1 год назад

Sina tatizo na uwezo wangu wa kung'amua na kuelewa majambo, ila huyu sijamuelewa! Aliyemuelewa aniwezeshe tafadhali. Yaani raia, maaskofu, masheikh, wachungaji, mapadre, walimu na matabibu wote wanalilia hali mbaya ya usalama (insecurity) hapa nchini, halafu Rais wa JMT anazodoa!

Фото профиля M.D (🅨)
M.D (🅨)1 год назад

Mama anajazwa kwenye mifumo ya wahuni kirahisi sana.

Фото профиля Laizer🐐
Laizer🐐1 год назад

Intelegez ya mchongo ulishindwa kujua tuanfamana ngorongoro ww huna lolote tupishe rudi zako kizmkazi

Фото профиля Livingstone
Livingstone1 год назад

Tayari, nchi imeisha hii, kwisha habari!

Фото профиля Tebbe 🫦
Tebbe 🫦1 год назад

😭😭😭 Serikali ya samaki mikono juu

Фото профиля 𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿
𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿1 год назад

Kumbe iliyoruhusu ni 4R sio katiba tena😃😃😃🚮 Watu hawawajibiki Wanaiba uchaguzi Hamna tume huru 😃😃

Фото профиля Haki Huinua Taifa🇹🇿 ♻
Haki Huinua Taifa🇹🇿 ♻1 год назад

SIJATAKA HATA KUSKILIZA HADI MWISHO KIFUPI NAONA NI UJINGA UNAOFANYWA NA VIONGOZI WALIOIBA KURA SIO WALIO CHAGULIWA haiingii Akilini kuona mkuu wa nchi anasimama kusema upumbavu mkubwa namna hii kwani hawezi hata kutumia kamasi kufikiri?🥴 Bado tuko na haya MAOMBI. #TUTAANDAMANA

Похожие видео