Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Aisee.. SLAA wa CHADEMA? 😭

174,568 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Tanzania Abroad TV profil fotoğrafı
Tanzania Abroad TV1 yıl önce

Kosa kubwa lilianzia Dodoma tarehe 12/07/2015 kwenye kumchagua mgombea mwenza Nchi hii tumekwisha

Mtanganyika profil fotoğrafı
Mtanganyika1 yıl önce

Intelijensia inataarifa za mipango ya vikao ila haijui genge la watekaji ambalo limefanya matukio kadhaa tayari. Delusional

JOSSY🏳 profil fotoğrafı
JOSSY🏳1 yıl önce

Af mkuu hii umeionaa😂😂 itoleen hatua hii, askar wetu wanafanya mazoezi kuzuia maandamano, kwa raisi, ila hawafanyi zoezi la kukumata watekaji, na wauaji.

Bubelwa Kaiza profil fotoğrafı
Bubelwa Kaiza1 yıl önce

Sina tatizo na uwezo wangu wa kung'amua na kuelewa majambo, ila huyu sijamuelewa! Aliyemuelewa aniwezeshe tafadhali. Yaani raia, maaskofu, masheikh, wachungaji, mapadre, walimu na matabibu wote wanalilia hali mbaya ya usalama (insecurity) hapa nchini, halafu Rais wa JMT anazodoa!

M.D (🅨) profil fotoğrafı
M.D (🅨)1 yıl önce

Mama anajazwa kwenye mifumo ya wahuni kirahisi sana.

Laizer🐐 profil fotoğrafı
Laizer🐐1 yıl önce

Intelegez ya mchongo ulishindwa kujua tuanfamana ngorongoro ww huna lolote tupishe rudi zako kizmkazi

Livingstone profil fotoğrafı
Livingstone1 yıl önce

Tayari, nchi imeisha hii, kwisha habari!

Tebbe 🫦 profil fotoğrafı
Tebbe 🫦1 yıl önce

😭😭😭 Serikali ya samaki mikono juu

𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿 profil fotoğrafı
𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿1 yıl önce

Kumbe iliyoruhusu ni 4R sio katiba tena😃😃😃🚮 Watu hawawajibiki Wanaiba uchaguzi Hamna tume huru 😃😃

Haki Huinua Taifa🇹🇿 ♻ profil fotoğrafı
Haki Huinua Taifa🇹🇿 ♻1 yıl önce

SIJATAKA HATA KUSKILIZA HADI MWISHO KIFUPI NAONA NI UJINGA UNAOFANYWA NA VIONGOZI WALIOIBA KURA SIO WALIO CHAGULIWA haiingii Akilini kuona mkuu wa nchi anasimama kusema upumbavu mkubwa namna hii kwani hawezi hata kutumia kamasi kufikiri?🥴 Bado tuko na haya MAOMBI. #TUTAANDAMANA

Benzer Videolar