Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

71,475 views • 1 year ago •via X (Twitter)

12 Comments

Simple Shamim's profile picture
Simple Shamim1 year ago

Kati Tugenda kuleeta za kamela 😩😩😂

RAQUEL🦋's profile picture
RAQUEL🦋1 year ago

Ebyooma bigenda kukukwata😂😂

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

- All I Knew

Dorah's profile picture
Dorah1 year ago

That's why I can never try Luganda Nyowe nahati hona after all.these years mbaza orutooro rundi orujungu wewe

Kemi💞's profile picture
Kemi💞1 year ago

I can’t defend my people 😂😂

RAQUEL🦋's profile picture
RAQUEL🦋1 year ago

😂😂

Maggie Atwooki ❣️'s profile picture
Maggie Atwooki ❣️1 year ago

😂😂😂😂😂Bambi

RAQUEL🦋's profile picture
RAQUEL🦋1 year ago

😂😂

Back bencher's profile picture
Back bencher1 year ago

“Tugenda ku letta za camera” Kanu kaba kanyisire😂😂

RAQUEL🦋's profile picture
RAQUEL🦋1 year ago

😂😂😂

Murungi Akiiki's profile picture
Murungi Akiiki1 year ago

Akiiki made my day

RAQUEL🦋's profile picture
RAQUEL🦋1 year ago

Me too

Related Videos

Mbunge wa Jimbo la Ikungi Magharibi, Elibariki Kingu ameishauri Serikali kuanzisha mfumo wa kuchangia Bima ya Afya kwa wote kupitia miamala ya simu, ambapo kila Mtanzania angechangia kiasi kidogo cha fedha katika kila muamala anaoufanya. Akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2026/27, May 11, 2026, Bungeni Jijini Dodoma, Kingu amesema Tanzania ina idadi kubwa ya miamala ya simu inayoweza kutumika kama chanzo cha uhakika cha kugharamia huduma za afya bila kuongeza mzigo mkubwa kwa Wananchi. “Nimefanya statistics kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania na kusoma ripoti za Benki Kuu ya Tanzania, Tanzania kwa mwaka mmoja inarekodi miamala bilioni 6.3 kwa Watu wanaofanya miamala kwenye mitandao ya simu na miamala mingine, Mchengerwa mnasubiri nini kuja na platform kwenye hii Nchi, sio mkalete tozo mpya zitakazowapa Watanzania mzigo, mimi nawapa mawazo, njooni na ‘coding system’ ambayo itatumia teknolojia ya kisasa Watanzania wako tayari kuchangia Bima ya Afya kwa wote, wanachosubiri ni kupewa mwelekeo,” amesema Elibariki Kingu. Aidha amesisitiza kuwa hata mchango mdogo wa shilingi 10 au 30 kwa kila muamala unaweza kusaidia Serikali kukusanya fedha nyingi zitakazowezesha Wananchi kupata huduma bora za afya bila kuambiwa kwenda kununua dawa nje ya Hospitali. “Kwa hesabu hizi mnaweza mkakusanya trilioni nne mkafadhili Bima ya Afya kwa wote Watanzania wakienda Hospitali wasiambiwe dawa nenda kanunue kwa Mtu fulani,” amesema Elibariki Kingu. #MillardAyoUPDATES

millardayo

27,428 views • 1 month ago

ak ksih nasihat utk pjuang rupiah
0:22

Sensitive content

ak ksih nasihat utk pjuang rupiah

willy the kid

27,604 views • 2 hours ago