Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

@/aleksandarosa

228,192 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Kami
Kami1 год назад

calm aim final boss

Фото профиля Vance Ginn
Vance Ginn1 год назад

Imagine a government where big government doesn't burden your future with excessive spending, taxes, and regulations. Here's how... 👇

Фото профиля Dylan
Dylan1 год назад

@Bulldogz1x @vaxfn

Фото профиля snyps
snyps1 год назад

@Chessgenie__ wir one day

Фото профиля キャベツ
キャベツ1 год назад

Фото профиля 7fell
7fell1 год назад

扇子!

Фото профиля Jorge
Jorge1 год назад

!sens

Фото профиля Cauan Batista
Cauan Batista1 год назад

@Alexsmx__

Фото профиля Juggernaut
Juggernaut1 год назад

Man’s vandal does not recoil

Фото профиля evaeuphemia
evaeuphemia1 год назад

god

Фото профиля hug
hug1 год назад

ejaculei

Похожие видео

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, CPA Amos Makalla amesema kujiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa awamu ya pili ni fursa nzuri kwa vijana na wananchi kutimiza haki yao ya kikatiba ya kushiriki uchaguzi. Makalla amesisitiza awamu hiyo ni fursa kubwa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 18 na wanatarajia kutimiza umri huo hadi ifikapo Oktoba mwaka huu kwani watapata nafasi ya kutimiza haki yao kikatiba ya kushiriki uchaguzi kwa kujiandikisha ili kukidhi vigezo. Makalla amezungumza hayo leo Mei 19,2025 wakati akizungumza na wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba inayojuisha majimbo mawili ya Muleba Kaskazini na Kusini akiwa katika muendelezo wa ziara yake ya siku saba katika mikoa ya kanda ya ziwa. Akiwasalimu wananchi hao Makalla amesema serikali na CCM wapo katika maandalizi ya kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kutimiza takwa la kikatiba na lengo la chama chao ambao ni kushika dola. Makalla lisema ili chama kiwese kushinda kwa kishindo kinahitaji kupigiwa kura na CCM imekuwa ikiwekwa madarakani kwa nguvu ya sanduku la kura ambazo zinapigwa na wananchi. Akisiitiza hilo amewahamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha na kuhakiki taarifa zao katika daftari la wapiga kura ambalo utekelezaji wake umeanza Mei 16, mwaka huu na kudu hadi Mei 22, mwaka huu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi huo. Makalla ameeleza kuwa kwa upande wa Tanzania bara mchakato huo unafanyika katika mikoa 11 na mikoa mitano kwa upande wa Zanzibar lengo likiwa ni kuhakikisha wananchi wanajiandikisha na kuhakiki taarifa zao kwa wale ambao hawakufanikiwa kufanya hivyo hapo awali. Mikoa hiyo inayopita daftari hilo kwa awamu ya pili ni Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Pwani, Singida, Dodoma, Dar es Salaam, Lindi, Mtwara, Mjini Magharibi, Kaskazini Unguja, Kusini Unguja, Kaskazini Pemba na Kusini Pemba. #MillardAyoUPDATES

millardayo

39,547 просмотров • 1 год назад