Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Aliposema Sheikh
34,080 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

Latto 𝕏1 год назад
Alikiba, Kamjibu sheikh, Baada ya kusema kuwa Wasanii na watu maarufu wengi hawafuturishi, Bali wanalisha watu... Video kwa Comments 👇

Latto 𝕏1 год назад
Alikiba

king j forever1 год назад
Shekhe kaitaja kitomoto nimesisimka 🤪🤪

Paschal Karokola1 год назад
Maskini wanakuwaga na gubu sana

NYANI MZEE🦍🦍1 год назад
Nimeskia app kitimoto kipo kwenye Friji 😂😂😂😂 Cha nini tena icho?

Jamesistry Kagulu1 год назад
Mimi sio mwislam lkn katika ili shekhe kasema ukwel mtupu.

PM Sebastian1 год назад
Saa mbovu imeongea ukweli leo 🤔😳🙄🤣😂

ibn Bahmiran1 год назад
Swadakta…. Maneno mswaki

Auz Almasi1 год назад
Maboga, mihogo, viazi ni vyakula vizuri kwa Afya ya mwili, endekezeni kuku na manyama mkifikiri ndio vya hali ya juu. Kufunga nibkati ya mtu na muumba wake, sio kujionesha kwa wanadamu wenzako.

Unc Jerome 👤1 год назад
shekh yupo Accurate sana huyu

Augustino1 год назад
Mbna kama kamtaja my wetu apo 🤔
