Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

14,827 Aufrufe • vor 25 Tagen •via X (Twitter)

0 Kommentare

Keine Kommentare verfügbar

Kommentare vom Original-Post werden hier angezeigt

Ähnliche Videos

#TajiriLaKihaya KUNA MASWALI MAKUBWA YANAYOPASWA KUJIBIWA MUHIMBILI NA JKCI. Leo familia yetu imepoteza mdogo wetu. Moyo wangu umejaa huzuni, uchungu na maswali mengi ambayo hadi sasa hayajajibiwa. Siku ya kwanza nilipofanikiwa kumpeleka mdogo wangu JKCI na kupata chumba cha VIP, nilifurahi sana. Niliona kama tumepata mwanga wa matumaini. Baada ya vipimo, tuliambiwa tatizo lake la moyo lilihitaji upasuaji mdogo tu na angeweza kuendelea na maisha yake kawaida. Tukaahidiwa upasuaji ungefanyika ndani ya siku mbili au tatu. Lakini siku zikageuka wiki. Kabla hata ya kulazwa, tulikuwa tumepambana kwa zaidi ya mwezi mzima tukizungushwa kutoka leo hadi kesho. Mara daktari hayupo, mara jopo la wataalamu halijakaa, mara kipimo kirudiwe, mara tusubiri dawa zifanye kazi kwanza. Kila siku ilikuwa ni ahadi mpya na tarehe mpya. Baada ya kulazwa tuliamini safari ngumu imekwisha. Lakini ndipo mateso makubwa zaidi yalipoanza. Mdogo wangu aliingia hospitalini akiwa bado anaweza kutembea, kuongea, kula na kujitambua. Kila siku tulisubiri upasuaji ulioahidiwa, lakini haukufanyika. Badala yake hali yake ilianza kuzorota mbele ya macho yetu. Wiki moja ikapita. Wiki mbili zikapita hadi wiki tatu Hakukuwa na upasuaji. Kulikuwa na sababu mpya kila siku. Kisha tukahamishwa kutoka chumba tulichokuwa tumepewa kwa madai kuwa kingefanyiwa fumigation. Lakini usiku huo huo mgonjwa mwingine akawekwa kwenye chumba hicho. Hadi leo hatujui ukweli ulikuwa nini- lazima UFISADI ULITUMIKA HAPA! Tulihamishiwa chumba kingine JAPO kilikua VIP… ila hakikua kwenye standard sawa! Hata nakumbuka kuna Daktari wa Kihindi alikuja kusoma vipimo akasema ile MONITOR haipo sawa! Mapigo ya moyo na oxygen haisomeki kwa usahihi… Sasa kwa nn tulihamishwa chumba? Kutoka chumba kizuri kuja hiki?? Kwa nn kile tulichokuwepo alipewa mwingine usiku huo tumehamishwa? CORRUPTION! Baada ya hapo hali ya mdogo wangu ilizidi kuwa mbaya zaidi. Akapoteza nguvu, akashindwa kuzungumza, akashindwa hata kuwatambua watu waliomzunguka. Tulikuwa tunauliza maswali. Tulikuwa tunaomba msaada. Tulikuwa tunaomba hatua zichukuliwe haraka. Lakini muda uliendelea kwenda. Leo asubuhi mdogo wangu amefariki dunia. Siandiki haya kwa hasira pekee. Naandika kwa maumivu ya familia iliyokuwa na matumaini makubwa ya kumuona mpendwa wao akirudi nyumbani akiwa mzima. Kama kweli kulikuwa na uzembe, kucheleweshwa kwa huduma, ukosefu wa uwajibikaji au mifumo mibovu ya utoaji huduma, basi kuna haja ya uchunguzi wa kina na hatua kuchukuliwa. Maisha ya Watanzania yana thamani. Wagonjwa hawapaswi kupoteza maisha wakisubiri tarehe nyingine, kikao kingine au ahadi nyingine. Tunataka majibu. Tunataka uwajibikaji. Na zaidi ya yote, tunataka familia nyingine isipitie maumivu tuliyoyapitia sisi. Kama hapa ni VIP… je wagonjwa wa kawaida wanapata huduma gani??? Pumzika kwa amani mdogo wangu. Tulipambana kwa kila tulichoweza. Mungu akupokee katika makao ya milele. 💔🕊️

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿

225,867 Aufrufe • vor 2 Tagen

Awalnya, semua itu memang tentang Sumatera. Sebuah bentuk kepedulian dan doa untuk saudara-saudara yang sedang tertimpa musibah. Namun ketika spanduk raksasa bertuliskan “THIS COUNTRY IS IN EMERGENCY” terbentang di tribun selatan Stadion Maguwoharjo, maknanya terasa lebih luas dari sekadar dukungan untuk satu daerah. Sore itu tribun memang tidak sepenuh biasanya. Hari kerja membuat banyak orang masih tertahan oleh pekerjaan, perjalanan pulang, dan berbagai kesibukan di luar stadion. Tapi justru di tengah tribun yang tidak terlalu ramai itu, pesannya terasa semakin jelas. Karena tanpa sadar, banyak orang merasa kalimat itu terlalu menggambarkan Indonesia hari ini. Negeri yang belakangan terasa makin berat dijalani. Kabar demi kabar datang tanpa benar-benar membawa tenang, sementara rakyat perlahan makin terbiasa hidup dalam keresahan. Lalu lagu itu dinyanyikan bersama. “Kulihat Ibu Pertiwi sedang bersusah hati Air matanya berlinang, mas intannya terkenang” Dan seketika, tribun terasa berubah. Bukan karena nyanyiannya pelan, tapi karena lirik itu terdengar terlalu dekat dengan kenyataan yang sedang dirasakan banyak orang hari ini. Mungkin itu sebabnya sore itu terasa berbeda. Karena untuk beberapa menit, tribun selatan Maguwoharjo tidak hanya bernyanyi untuk Sumatera, tapi juga seperti sedang menyuarakan keresahan yang selama ini dirasakan banyak orang. Di tribun, sepak bola sekali lagi bukan cuma soal pertandingan. Kadang, tribun menjadi tempat di mana suara rakyat terdengar paling jujur. Awalnya memang tentang Sumatera. Tapi semakin lagu itu dinyanyikan, semakin terasa bahwa yang sedang bersusah hati hari ini bukan cuma satu daerah. Melainkan satu negara. #PSS #BCSxPSS

404Vids

40,637 Aufrufe • vor 11 Tagen