Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Amiri Jeshi Mkuu | Mama | Mfariji wa Taifa

338,701 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля Almach Nestory 🇷🇺🇰🇵🇨🇳
Almach Nestory 🇷🇺🇰🇵🇨🇳1 год назад

Huyu hapa kiongozi bora wa muda wote, alikuwa kiongozi mtendaji na mzalendo wa kweli, aliwajali sana wananchi wake kwa kila kitu alitanguliza maslahi ya nchi na wananchi wake, alikuwa mwenye maono, mipango mizuri na misimamo dhabiti, daima tutamkumbuka.

Фото профиля Olomayani
Olomayani1 год назад

Sio Mfariji, ni mbinafsi, mwenye Dharau na Katili kuliko, Uhai wa watu wetu sio kipaumbele chake ! Hastahili kuwa Rais hata Kwa sekunde, Hongera nyingi kwake ni Kwa sababu ya Faida ya ujinga wa wanaowaongoza(wananchi) ! Ipo siku na si nyingi Kiama kitamkuta yeye na familia yake

Фото профиля Pablo East
Pablo East1 год назад

Nyie machawa mwacheni mama wa watu afanye kazi yake mnamuharibia kwa sifa za kijinga, tafuteni shughuli za kufanya

Фото профиля ROHO MTAKATIFU💪🇳🇴
ROHO MTAKATIFU💪🇳🇴1 год назад

hakuna mtu anahitaji faraja watu wanahitaji uwajibikaji Faraja haisaidii kitu

Фото профиля Heavyweight
Heavyweight1 год назад

Taifa la wapi analolifariji?

Фото профиля Brian ricch⚡
Brian ricch⚡1 год назад

Mnatumia nguvu kupush sifa zake, kizuri kinajionyesha chenyewe siku zote Rest easy, Uncle Magufuli 🤧

Фото профиля Itgirl
Itgirl1 год назад

Huyu alivyoenda kula bata huku wananchi wamefukiwa kwenye kifusi?!?

Фото профиля Harbeth🇸🇩
Harbeth🇸🇩1 год назад

Boss kubwa

Фото профиля 𝑫𝒓.𝑯𝒊𝒍𝒂𝒓𝒚 𝒘𝒂 𝒀𝒂𝒏𝒈𝒂𝕏
𝑫𝒓.𝑯𝒊𝒍𝒂𝒓𝒚 𝒘𝒂 𝒀𝒂𝒏𝒈𝒂𝕏1 год назад

Mfariji mwema Mama Samia

Похожие видео