Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Anyway 🚶🏿‍♀️

96,955 Aufrufe • vor 2 Jahren •via X (Twitter)

11 Kommentare

Profilbild von Meja Scofield🦁
Meja Scofield🦁vor 2 Jahren

Ndugai aliongea jambo la muhimu na la msingi sana lakini kuna watu walimuona kama anasaliti chama. Anyways sijui nilitaka kusemaje 😂 ngoja niwashe jiko la mkaa nipike zangu ugali dagaa njaa ni kali

Profilbild von MIRIAM💜
MIRIAM💜vor 2 Jahren

@Sir_Almando Usisahau pilipili

Profilbild von Solar Heavy
Solar Heavyvor 1 Jahr

- All I Knew

Profilbild von FRANCIS ❖91688❖
FRANCIS ❖91688❖vor 2 Jahren

Hii Inanifikirisha Sana Hii...

Profilbild von MIRIAM💜
MIRIAM💜vor 2 Jahren

Mno

Profilbild von SEVEN
SEVENvor 2 Jahren

Aliona mbali sana

Profilbild von MIRIAM💜
MIRIAM💜vor 2 Jahren

Mno

Profilbild von Kimacho
Kimachovor 2 Jahren

Ccm ukiongea jambo la maana unafukuzwa, wanakumbatia ujinga ili waendelee kututawala

Profilbild von Ima Nivard
Ima Nivardvor 2 Jahren

Yaani ogopa mpaka mhusika wa kwenye mfumo wa utawala alishtuka.. Ndugai alisema kuna siku nchi itauzwa hii😂

Profilbild von Musugu
Musuguvor 2 Jahren

Kilichomponza ni hiyo kauli hapoa 2025 mtaamua 🤔🤔🤔 maoni yake wala hayakua na shida kwa serikali kwa sababu ni sikivu sana sema alisahau kuwa kuna serikali sikivu na watu wanaongoza serikali sikivu, hivo alichanganya maoni ndo kosa lake hapo.

Profilbild von PETER HENRY LYIMO PHL
PETER HENRY LYIMO PHLvor 2 Jahren

Miriam unatumiwa na mabeberu kukwamisha maendeleo na kazi kubwa anayoifanya mama 😄

Ähnliche Videos