Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Anyway 🚶🏿‍♀️

96,955 views • 2 years ago •via X (Twitter)

11 Comments

Meja Scofield🦁's profile picture
Meja Scofield🦁2 years ago

Ndugai aliongea jambo la muhimu na la msingi sana lakini kuna watu walimuona kama anasaliti chama. Anyways sijui nilitaka kusemaje 😂 ngoja niwashe jiko la mkaa nipike zangu ugali dagaa njaa ni kali

MIRIAM💜's profile picture
MIRIAM💜2 years ago

@Sir_Almando Usisahau pilipili

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

- All I Knew

FRANCIS ❖91688❖'s profile picture
FRANCIS ❖91688❖2 years ago

Hii Inanifikirisha Sana Hii...

MIRIAM💜's profile picture
MIRIAM💜2 years ago

Mno

SEVEN's profile picture
SEVEN2 years ago

Aliona mbali sana

MIRIAM💜's profile picture
MIRIAM💜2 years ago

Mno

Kimacho's profile picture
Kimacho2 years ago

Ccm ukiongea jambo la maana unafukuzwa, wanakumbatia ujinga ili waendelee kututawala

Ima Nivard's profile picture
Ima Nivard2 years ago

Yaani ogopa mpaka mhusika wa kwenye mfumo wa utawala alishtuka.. Ndugai alisema kuna siku nchi itauzwa hii😂

Musugu's profile picture
Musugu2 years ago

Kilichomponza ni hiyo kauli hapoa 2025 mtaamua 🤔🤔🤔 maoni yake wala hayakua na shida kwa serikali kwa sababu ni sikivu sana sema alisahau kuwa kuna serikali sikivu na watu wanaongoza serikali sikivu, hivo alichanganya maoni ndo kosa lake hapo.

PETER HENRY LYIMO PHL's profile picture
PETER HENRY LYIMO PHL2 years ago

Miriam unatumiwa na mabeberu kukwamisha maendeleo na kazi kubwa anayoifanya mama 😄

Related Videos