Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Apartments za Kimara:

152,921 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 29

Фото профиля Bepari
Bepari1 год назад

Acha niendelee kukaa uyole chumba sebule master 45 uko dar nitakuja kutembea

Фото профиля Bro.msela
Bro.msela1 год назад

Sasa kama wewe umeajiliwa posta kuondoka kwako saa 11 ukipaki wa kwanza mbele alafu wawepo walevi wawili waliojiajili wao kazini kwenda mpaka waamue si ugonvi kila siku

Фото профиля WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD1 год назад

Sasa hii room ukiweka kitanda cha 5X6 si tayari kimejaa?

Фото профиля Baraka24
Baraka241 год назад

Kuna.assemble. Asubuhi au

Фото профиля Calv
Calv1 год назад

Jiko ndio icho kibaraza? Utapeli

Фото профиля Sancho andy
Sancho andy1 год назад

Yani chumba cha kupanga 150k daah😂😂😂

Фото профиля Mr.Mungah
Mr.Mungah1 год назад

Hizi sio apartment, hivi ni vyumba vya kupanga.

Фото профиля Saed Soud Ameer
Saed Soud Ameer1 год назад

Kaa kino kodi laki maximum laki 5 stress za usafiri unasahau

Фото профиля Dorgu
Dorgu1 год назад

Hizo apartments au hostel😅

Фото профиля Champagne Problem
Champagne Problem1 год назад

Iyo laki na Nusu ya Zimbabwe Nini kwa chumba Gani hapo 😂

Фото профиля Baba'ke
Baba'ke1 год назад

Jiko sijaliona mbona

Фото профиля Innocent M.W
Innocent M.W1 год назад

Hiyo ni shule sio nyumba za kuishi. Btw nikakae Kimara Suka kwa 150K/room. 🤣🤣 sasa hapo nakwepa nini?

Фото профиля Kuchela
Kuchela1 год назад

Ujinga mtupu sasa hapo sofa naweka wapi

Фото профиля Mwesi
Mwesi1 год назад

Ahh!! This ain't no apartments!! Kwanza asbh mnatoja mnakutana hapo katikati sijui ni uwanjani au ubaraza mpana??!!!! 🤣

Фото профиля Elisa~Minty D&D🧚🏾‍♀️
Elisa~Minty D&D🧚🏾‍♀️1 год назад

🤣🤣🤣🤣

Фото профиля 🅜︎🅦︎🅐︎🅖︎🅘︎🅣︎🅞︎🏀
🅜︎🅦︎🅐︎🅖︎🅘︎🅣︎🅞︎🏀1 год назад

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Фото профиля ~kiss©️anga🇸🇷~
~kiss©️anga🇸🇷~1 год назад

Mmh hapo hakun nyumba ya gharam hiyo..plus hizo sio apartment

Фото профиля Living
Living1 год назад

Kibaraza ndio kimeitwa jiko...utapeli mtupu

Фото профиля STEVEBIKO
STEVEBIKO1 год назад

Hayo ni mageti ha watto wa shule au chuo,,naishije hapo sasa, ukitoka tu mmegongana na mlevi

Фото профиля Call me Frank
Call me Frank1 год назад

@jozee_i

Фото профиля K A P E L L A.!
K A P E L L A.!1 год назад

😂

Фото профиля 111 kicheche
111 kicheche1 год назад

😅 😅 😅 Huko daslam siji

Фото профиля theophiltz
theophiltz1 год назад

150k 🙄🙄

Фото профиля matogoro
matogoro1 год назад

Hizi mita hata msoma mita anaweza kuchanganya ya kwangu akampa mwingine

Фото профиля Made Man
Made Man1 год назад

kama mabweni duuh

Фото профиля Malle
Malle1 год назад

Ramani nzuri

Фото профиля MR. TELLY
MR. TELLY1 год назад

Huyo Boss mwambie aje na mtwara basi, Yani muelewa sana maji yako mwenyewe na umeme 🙌🙌🙌🙌

Фото профиля Jay Platinumz
Jay Platinumz1 год назад

Jiko sjaliona hapo

Фото профиля Maxmilian.
Maxmilian.1 год назад

150,000 dar shikamoo.

Похожие видео