Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Azam Sea Taxi 🤩 🛥️
74,550 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Hizi Sea Taxi kwa nini msifanye mapango muzijengee docks na kuanzisha Route za Kivukoni- Bahari Beach, Mbweni na Mapinga ikiwezekana hadi bagamoyo?? Then mkaweka route nyingine Ferry/ Kivukoni hadi Mbutu au mbele zaidi kama demand ipo?

Mtaruhusu tuchukue video kwenye Hizo vivuko vyenu au na nyie ndio Kama wake wale !?

wazee zanzibar bagamoyo dar mtakuja lini? bamoyo dar mtaanza lini ? nimepata taarifa mnataka kujenga gati bagamoyo pale je ni kweli? na ujenzi unatakamilika lini kama ni kweli? maana mtatusaidia sana kupush uchumi cyo kutegemea kwenda dar ili tupate boti za zanzibar

Tunaomba Route ya Bagamoyo - Bunju - Posta via Msasani, tafadhali muifanyie kazi. Itasaidia raia wengi sana.

My single Stargazing just landed!

Hongereni sana

Mafia mafia tunaomba mtukumbuke 🥲 mafia-kisiju

Mafia, bagamoyo,

@ofclbakhresagrp chukueni na mwendokasi ata elfu 1000 tutalipa nauli

Mwanza to Ukerewe, hii njia inahitaji nguvu coz Songoro anasua sua sana

Punguzen Bei 500 kubwa sana kw maisha ya sasa hivi.

