Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Bahati Bukuku. 🤔🤔
44,896 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Neddy1 год назад
Kuna utofauti mkubwa kati wa mwanamke aliyeolewa akaachika akabaki na mtoto huyu anastahili heshima kubwa sana Lakini mawanamke hujawahi olewa na una mtoto unajiwekea wakati mgumu sana kwenye jamii ya leo

@ Mbwana🇹🇿1 год назад
Single mother ni mwanamke anafanya malezi ya watoto bila kua na mweza wake Yaani anafanya majukimu yote ya ulezi peke yake. Single mother anaweza akaingia kwenye kundi hilo Kwa Talaka,kufiwa ama kuto kuolewa na akawa na mtoto.

Democracy1 год назад
Single mother wengi hawajaolewa wamaezaa kwenye mazingira ya usichanani

Rahim Yusuph1 год назад
Dats bi mkubwa yupogo smart sanaaa huyu

kuti bichi1 год назад
Kweli

KibabuTete1 год назад
she is right

Marcednyo1 год назад
Mbona kamchimba Bite mapema Aisee🤔🙄🤔

Being Blue1 год назад
Sio kweli

Sister G❤️1 год назад
Hahaaaa

Visit Mbeya🇹🇿1 год назад
Kawa mkali sana dada yetu
