Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

44,896 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

10 Comments

Neddy's profile picture
Neddy1 year ago

Kuna utofauti mkubwa kati wa mwanamke aliyeolewa akaachika akabaki na mtoto huyu anastahili heshima kubwa sana Lakini mawanamke hujawahi olewa na una mtoto unajiwekea wakati mgumu sana kwenye jamii ya leo

@ Mbwana๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ's profile picture
@ Mbwana๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 year ago

Single mother ni mwanamke anafanya malezi ya watoto bila kua na mweza wake Yaani anafanya majukimu yote ya ulezi peke yake. Single mother anaweza akaingia kwenye kundi hilo Kwa Talaka,kufiwa ama kuto kuolewa na akawa na mtoto.

Democracy's profile picture
Democracy1 year ago

Single mother wengi hawajaolewa wamaezaa kwenye mazingira ya usichanani

Rahim Yusuph's profile picture
Rahim Yusuph1 year ago

Dats bi mkubwa yupogo smart sanaaa huyu

kuti bichi's profile picture
kuti bichi1 year ago

Kweli

KibabuTete's profile picture
KibabuTete1 year ago

she is right

Marcednyo's profile picture
Marcednyo1 year ago

Mbona kamchimba Bite mapema Aisee๐Ÿค”๐Ÿ™„๐Ÿค”

Being Blue's profile picture
Being Blue1 year ago

Sio kweli

Sister Gโค๏ธ's profile picture
Sister Gโค๏ธ1 year ago

Hahaaaa

Visit Mbeya๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ's profile picture
Visit Mbeya๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 year ago

Kawa mkali sana dada yetu

Related Videos