正在加载视频...
视频加载失败
Balaa la chadema Katoro GEITA muda huu.
11 条评论

Kuna mpuuzi anaitwa @YerickoNyerereT anasema @ChademaTZ2 inakufa eti kwasababu walamba asali wanaondoka kwenye chama. Tunakusubiri wewe kibaka @YerickoNyerereT uondoke pia halafu tuone chama chetu kikifa shwaini wewe! Watu wanapigania ukombozi mnatuletea use**nge halafu tuwaache!

Watanzania siyo waoga ila ni wavumilivu. Wanahitaji mtu atakayekuwa front line mwenye dhamira ya dhati na mabadiliko na si vinginevyo. Chadema kilipendwa kutokana na harakati zake. Na hizo harakati ziendele. Ila viongozi mkishaanza sijui busara sijui nini wananchi wanarudi nyuma

The love is so real..he must be happy

new single Stargazing just landed

Na hapo TAL HAYUPO

Mbele Kuna mwanga

Hii ficha wasioone wale vijana wa NJAA55

Kanda ya ziwa hainaga kulemba

@AnethStanley Hiki Chama hakiwezi kufa kwa namna yoyote kwa sasa

Hili ni balaa kubwa, upepo wa kisurisuri ukikaa mbele unakulpitia. Mumetisha sana

Halafu kuna Mapimbi wanapost Mapichapicha ya alfajiri ati hakuna watu mikutanoni🤣🤣
